-
Iran, UN zalaani mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki
Dec 20, 2016 04:23Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya balozi wa Russia nchini Uturuki na kuutaja ukatili huo kama kitendo cha kikatili na kishenzi.
-
Rouhani: Iran kuimarisha uhusiano wake na Niger
Dec 19, 2016 04:47Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Rais wa Niger Mahamadou Issoufou, kwa mnasaba wa kuadhimishwa Siku ya Taifa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Iran yaishukuru Kenya kwa kuwaachia huru raia wake waliokamatwa kimakosa
Dec 16, 2016 04:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeishukuru serikali ya Kenya kwa kuwaachia huru mawakili wawili raia wa nchi hii waliokamatwa kimakosa na polisi katika mji mkuu Nairobi, wiki mbili zilizopita.
-
Mufti Mkuu wa Syria aishukuru Iran kwa misaada yake
Dec 15, 2016 10:48Mufti Mkuu wa Syria ameishukuru Iran kwa misaada yake kwa wakazi wa mji wa Halab (Aleppo) kaskazini mwa Syria.
-
Iran na Indonesia kuimarisha usalama katika ulimwengu wa Kiislamu
Dec 14, 2016 10:51Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Indonesia zina nafasi ya kipekee ya kuimarisha usalama katika eneo na ulimwengu wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Rais Museveni apongeza uhusiano mzuri wa Uganda na Iran
Dec 14, 2016 10:41Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Iran nchini humo na kupongeza uhusiano mzuri uliopo baina ya Tehran na Kampala.
-
Iran na Afrika Kusini zasaini hati ya ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi
Dec 14, 2016 04:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini zimetia saini hati ya maelewano ya ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi.
-
Marekani: Uamuzi wa Iran wa kutengeneza vifaa endeshi vya nyuklia haukiuki JCPOA
Dec 14, 2016 04:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekania amesema kuwa agizo lililotolewa na Rais wa Iran kuhusu vifaa endeshi vya nyuklia halikiuki makubaliano ya JCPOA.
-
Jeshi la Iran lazindua drone za kivita, upelelezi
Dec 13, 2016 12:46Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua ndege zisizo na rubani (drone) mbili zilizotengenezwa hapa nchini zenye uwezo wa kivita na upelelezi.
-
Iran: Itibari ya JCPOA inategemea kuheshimiwa makubaliano hayo na pande zote
Dec 13, 2016 04:39Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kufanikiwa makubaliano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za kundi la 5+1 kunategemea iwapo pande zote zitayaheshimu na kuyatekeleza makubaliano hayo ipasavyo au la.