-
Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina
Dec 12, 2016 23:20Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili daima limekuwa likifanya juhudi za kuimarisha safu za muqawama, mapambano na mshikamano wa taifa la Palestina.
-
Jumanne, Disemba 13, 2016
Dec 12, 2016 23:09Leo ni Jumanne tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 13, 2016.
-
Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo
Dec 12, 2016 10:33Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika mkutano wa usalama mjini Manama nchini Bahrain hayana athari za kivitendo.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri
Dec 12, 2016 03:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Uingereza, Saudia zinaituhumu Iran kuficha nafasi yao haribifu ya kuunga mkono magaidi
Dec 12, 2016 01:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Matamshi dhidi ya Iran yaliyotolewa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza na Saudia Arabia ni katika njama ya kujaribu kuficha nafasi yao haribifu ya uungaji mkono magaidi wakufurishaji."
-
Zarif: Ubeberu wa nchi za Magharibi duniani umepitwa na wakati
Dec 11, 2016 23:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za uistikbari na ubeberu wa madola makubwa ya Magharibi zimepita na kwamba enzi hizo hazina nafasi katika dunia ya sasa.
-
Rouhani: Dini na Madhehebu anuwai zimeimarisha umoja wa kitaifa Iran
Dec 11, 2016 11:03Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uwepo wa dini na madhehebu anuwai hapa nchini umesaidia kuimarisha umoja na mshikamano wa kitaifa.
-
Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia
Dec 10, 2016 23:38Naibu wa Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria
Dec 10, 2016 23:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani miripuko ya mabomu iliyotokea nchini Nigeria na kupelekea watu wengi kuuawa bila ya hatia.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yamwita balozi wa Uingereza ajieleze
Dec 10, 2016 13:51Balozi wa Uingereza mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwenda kujieleza kuhusu matamshi yaliyo dhidi ya Iran yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Uingereza mjini Manama, Bahrain.