Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Zarif: Iran inafanya juhudi za kuimarisha muqawama wa taifa la Palestina

    Dec 12, 2016 23:20

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili daima limekuwa likifanya juhudi za kuimarisha safu za muqawama, mapambano na mshikamano wa taifa la Palestina.

  • Jumanne, Disemba 13, 2016

    Jumanne, Disemba 13, 2016

    Dec 12, 2016 23:09

    Leo ni Jumanne tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 13, 2016.

  • Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo

    Velayati: Matamshi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hayana athari za kivitendo

    Dec 12, 2016 10:33

    Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, matamshi yaliyo dhidi ya Iran ya Waziri Mkuu wa Uingereza katika mkutano wa usalama mjini Manama nchini Bahrain hayana athari za kivitendo.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya eneo la kidini Misri

    Dec 12, 2016 03:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga kanisa moja katika mji mkuu wa Misri, Cairo na kusababisha vifo vya makumi ya watu.

  • Uingereza, Saudia zinaituhumu Iran kuficha nafasi yao haribifu ya kuunga mkono magaidi

    Uingereza, Saudia zinaituhumu Iran kuficha nafasi yao haribifu ya kuunga mkono magaidi

    Dec 12, 2016 01:23

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Matamshi dhidi ya Iran yaliyotolewa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza na Saudia Arabia ni katika njama ya kujaribu kuficha nafasi yao haribifu ya uungaji mkono magaidi wakufurishaji."

  • Zarif: Ubeberu wa nchi za Magharibi duniani umepitwa na wakati

    Zarif: Ubeberu wa nchi za Magharibi duniani umepitwa na wakati

    Dec 11, 2016 23:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za uistikbari na ubeberu wa madola makubwa ya Magharibi zimepita na kwamba enzi hizo hazina nafasi katika dunia ya sasa.

  • Rouhani: Dini na Madhehebu anuwai zimeimarisha umoja wa kitaifa Iran

    Rouhani: Dini na Madhehebu anuwai zimeimarisha umoja wa kitaifa Iran

    Dec 11, 2016 11:03

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uwepo wa dini na madhehebu anuwai hapa nchini umesaidia kuimarisha umoja na mshikamano wa kitaifa.

  • Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia

    Iran yaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia

    Dec 10, 2016 23:38

    Naibu wa Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaendelea kustawisha miradi yake ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Iran yalaani miripuko ya mabomu ya nchini Nigeria

    Dec 10, 2016 23:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani miripuko ya mabomu iliyotokea nchini Nigeria na kupelekea watu wengi kuuawa bila ya hatia.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yamwita balozi wa Uingereza ajieleze

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yamwita balozi wa Uingereza ajieleze

    Dec 10, 2016 13:51

    Balozi wa Uingereza mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwenda kujieleza kuhusu matamshi yaliyo dhidi ya Iran yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Uingereza mjini Manama, Bahrain.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS