Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Russia

  • Abdollahian: Kusifanywe jambo ambalo litatoa pigo kwa uhusiano wa Iran na Russia

    Abdollahian: Kusifanywe jambo ambalo litatoa pigo kwa uhusiano wa Iran na Russia

    Jul 19, 2023 08:01

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kujitawala na mamlaka ya ardhi yote ya Iran ni jambo ambalo katu si kitu cha kufanyiwa mazungumzo.

  • Raisi: Ushirikiano wa nchi huru ndio jibu kwa mkakati wa Marekani wa kudhoofisha usalama

    Raisi: Ushirikiano wa nchi huru ndio jibu kwa mkakati wa Marekani wa kudhoofisha usalama

    Nov 09, 2022 15:36

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ushirikiano wa nchi huru ndilo jibu muhimu zaidi kwa stratijia ya Marekani ya kuyumbisha usalama.

  • Mkutano wa marais wa Iran na Russia; nchi mbili zilizo katika mkondo wa pamoja wa kimkakati

    Mkutano wa marais wa Iran na Russia; nchi mbili zilizo katika mkondo wa pamoja wa kimkakati

    Jan 21, 2022 02:29

    Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran siku ya Jumatano alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Russia mjini Moscow ambapo pande mbili zimejadili masuala ya kieneo na kimataifa.

  • Viongozi wa Russia wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Viongozi wa Russia wasisitiza kuimarisha uhusiano na Iran

    Jan 20, 2022 10:04

    Mkuu wa Kamati ya Uhusiano wa Kimataifa ya Bunge la Russia, Duma, amesena katika mazungumzo yake na Hussein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa uhusiano wa nchi mbili hizi ni mzuri na kuongeza kuwa kuimarishwa uhusiano huo hadi kiwango cha ushirikiano wa kistratijia ni suala muhimu sana kwa Russia.

  • Rais Ebrahim Raisi: Ushirikiano wa Iran na Russia unaimarisha amani

    Rais Ebrahim Raisi: Ushirikiano wa Iran na Russia unaimarisha amani

    Jan 19, 2022 08:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: Ushirikiano kati ya Iran na Russia unajenga amani na usalama na utazuia sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja katika kanda hii.

  • Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Rais Raisi wa Iran kutembelea Russia leo, kukutana na Rais Putin

    Jan 19, 2022 03:28

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran leo anaelekea Russia kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo kuhusu masuala muhimu ya kieneo, kimataifa na ya pande mbili.

  • Russia: Iran iko mstari wa mbele katika kupambana na ugaidi

    Russia: Iran iko mstari wa mbele katika kupambana na ugaidi

    Jan 16, 2021 13:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametupilia mbali madai ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo ya kuihusisha Iran na Al Qaeda; na akasema, kwa mujibu wa ushahidi uliopo, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yenyewe ni mhanga wa ugaidi na iko mstari wa mbele pia katika kupambana kwa dhati na makundi ya kigaidi.

  • Tatizo la uwepo wa magaidi wa kitakfiri katika mzozo wa Karabakh

    Tatizo la uwepo wa magaidi wa kitakfiri katika mzozo wa Karabakh

    Nov 09, 2020 11:22

    Uwepo wa magaidi wa kitakfiri katika eneo linalogombaniwa la Nagorno Karabakh unaendelea kubadilika taratibu na kuwa tatizo kubwa kwa serikali za eneo.

  • Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Oct 09, 2020 02:36

    Kwa kuendelea mapigano baina ya Jamhuri ya Azeribaijan na Armenia, hivi sasa pande hasimu katika vita zimepanua wigo kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia katika maeneo yenye umuhimu wa kiuchumi.

  • Lavrov: Russia haikubaliani na takwa la Marekani la kukata ushirikiano na Iran

    Lavrov: Russia haikubaliani na takwa la Marekani la kukata ushirikiano na Iran

    Sep 25, 2020 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi yake haikubaliani na takwa la Marekani la kuitaka ikate ushirikiano wake na Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS