-
Azma ya Iran na Iraq ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Sep 13, 2024 11:46Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na viongozi wa Iraq wamesisitiza nia na azma ya serikali za Tehran na Baghdad kwa ajili ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kieneo.
-
Kuongezeka mauzo ya bidhaa za Iran nchini Iraq
Sep 12, 2024 11:34Shirika la Maendeleo ya Biashara la Iran limetangaza kuwepo ongezeko kubwa la mauzo ya Iran nchini Iraq katika miezi ya karibuni.
-
Rais wa Iran awasili eneo la Kurdistan la Iraq katika siku ya pili ya ziara yake nchini humo
Sep 12, 2024 07:41Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili katika eneo la Kurdistan la Iraq katika siku ya pili ya ziara yake ya kuitembelea nchi hiyo.
-
Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq wafanya mkutano na waandishi wa habari Baghdad
Sep 12, 2024 03:11Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mkutano na waandishi wa habari akiwa pamoja na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Iraq: "tunapaswa kutekeleza makubaliano ya ushirikiano wa kiusalama kati ya Iran na Iraq ili kukabiliana na magaidi na maadui".
-
Iraq: Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani kuondoa wanajeshi wake huko Iraq katika muda wa miaka 2
Sep 09, 2024 10:48Iraq imesema kuwa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani, ambao ulisalia katika nchi hiyo ya Kiarabu kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh miongo miwili baada ya kuivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka wa 2003, utaondoa kikamilifu wanajeshi wake ndani ya miaka miwili kuanzia sasa. Haya yameelezwa na Thabit al Abbasi Waziri wa Ulinzi wa Iraq.
-
Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi
Sep 08, 2024 11:35Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kuitembelea Iraq siku ya Jumatano katika safari yake ya kwanza ya nje tangu aingie madarakani.
-
Muqawama wa Iraq watumia droni za kamikaze kupiga Haifa
Sep 04, 2024 07:00Harakati ya Muqawama ya Iraq imefanya shambulizi la ndege zisizo na rubani dhidi ya mji wa Haifa, kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Muqawama Iraq kuanzisha tena operesheni dhidi ya majeshi ya US
Aug 26, 2024 12:19Makundi ya Muqawama ya kupambana na ugaidi ya Iraq yameafikiana kuanzisha tena operesheni dhidi ya kambi na vituo vya kijeshi vya Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
75% ya Waisrael wanaamini Netanyahu ameshindwa kukabiliana na Hizbullah
Aug 24, 2024 11:08Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na taasisi ya habari ya Mako ndani ya jamii ya Wazayuni yanaonyesha kuwa asilimia 75 ya Waisraeli hawaridhishwi na namna serikali ya waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu inavyoshughulikia hali ya usalama kwenye mpaka wa kaskazini, ambako kila siku kunaandamwa na mashambulio makali ya Harakati ya Muqawama wa Kiisilamu ya Hizbullah ya Lebanon tangu Israel ilipoanzisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.
-
Muqawama Iraq: Jibu la Iran dhidi ya Israel litakuwa la nguvu
Aug 15, 2024 02:46Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq amesema jibu tarajiwa la Iran kwa mauaji ya kigaidi yaliyofanywa mwezi uliopita na utawala wa Kizayuni dhidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS litakuwa la nguvu, lenye taathira na la kimahesabu.