Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yawaua shahidi Wapalestina 3 siku ya kwanza ya Ramadhani

    Israel yawaua shahidi Wapalestina 3 siku ya kwanza ya Ramadhani

    Apr 02, 2022 08:38

    Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi Wapalestina watatu kwa kuwapiga risasi katika mji wa Jenin, katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jihadul Islami: Operesheni dhidi ya Israel ni jibu kwa jinai zake

    Jihadul Islami: Operesheni dhidi ya Israel ni jibu kwa jinai zake

    Mar 31, 2022 22:59

    Kiongozi mwandamizi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema operesheni za hivi karibuni za wanamuqawama wa Kipalestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ni jibu kwa jinai za utawala huo pandikizi na hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.

  • Wazayuni 5 wauawa kwa kupigwa risasi mjini Tel Aviv

    Wazayuni 5 wauawa kwa kupigwa risasi mjini Tel Aviv

    Mar 30, 2022 02:08

    Kwa akali Waisraeli watano wameangamizwa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo viungani mwa mji wa Tel Aviv.

  • Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Mar 28, 2022 21:01

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) Mahmoud Abbas amezikemea nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kinafiki na kindumakuwili baada ya kuchukua hatua kali dhidi ya Russia kuhusu operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine huku zikipuuza uhalifu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Amir wa Qatar aikosoa dunia kwa kupuuza kughusubiwa ardhi za Palestina

    Amir wa Qatar aikosoa dunia kwa kupuuza kughusubiwa ardhi za Palestina

    Mar 27, 2022 06:20

    Amir wa Qatar amekosoa vikali hatua ya utawala ghasibu wa Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina na kusisitiza kuwa, asilimia kubwa ya jamii ya kimataifa imefumbia macho kadhia hiyo kwa miongo kadhaa sasa.

  • UN: Jamii ya Kimataifa ndiyo inayobeba dhima ya 'Apatheid' ya utawala wa Kizayuni

    UN: Jamii ya Kimataifa ndiyo inayobeba dhima ya 'Apatheid' ya utawala wa Kizayuni

    Mar 26, 2022 22:01

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kuendelea kuweko mfumo wa ubaguzi wa rangi aina ya Apatheid unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina, sababu yake ni udhaifu wa jamii ya kimataifa na jamii hiyo ndiyo iliyopelekea kutokea ubaguzi huo.

  • Syria yaitaka UN iibebeshe dhima Israel kwa jinai zake Golan

    Syria yaitaka UN iibebeshe dhima Israel kwa jinai zake Golan

    Mar 26, 2022 09:07

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa Baraza la Haki za Binadamu la umoja huo liuwajibishe na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel kwa jinai ulizozifanya katika Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Wanaakademia wataka Vyuo Vikuu duniani visimame dhidi ya Israel

    Wanaakademia wataka Vyuo Vikuu duniani visimame dhidi ya Israel

    Mar 23, 2022 07:17

    Makumi ya wasomi na wanaakademia wa Uingereza wametoa mwito kwa Vyuo Vikuu na taasisi zote za elimu ya juu kote duniani kusimama kidete mkabala wa kitendo cha utawala ghasibu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Mar 22, 2022 22:12

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameripotiwa kuitembelea Misri katika ziara ya siri na kificho, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na ngazi za juu wa nchi hiyo, akiwemo Rais Abdel Fattah al-Sisi.

  • Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Mar 22, 2022 08:23

    Ripoti ya Kituo cha Haki za Binadamu cha Harvard imeibua hasira miongoni mwa maafisa wa utawala haramu wa Israel na duru zinazoiunga mkono Tel Aviv, baada kulaani uvamizi wa utawala huo huko Palestina ikiutaja kuwa ni "uhalifu wa ubaguzi wa rangi, apartheid."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS