-
Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani
Oct 22, 2020 04:26Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribishwa kwa maandamano ya upinzani nchini Sudan.
-
Jumamosi, 17 Oktoba, 2020
Oct 16, 2020 23:12Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria mwafaka na tarehe 17 Oktoba 2020 Miladia.
-
EU yaikosoa Israel kwa kuendelea kupora ardhi za Wapalestina
Oct 16, 2020 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia
Oct 08, 2020 23:06Kwa kuendelea mapigano baina ya Jamhuri ya Azeribaijan na Armenia, hivi sasa pande hasimu katika vita zimepanua wigo kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia katika maeneo yenye umuhimu wa kiuchumi.
-
Mwanamfalme wa Saudia akerwa na Palestina kupinga uhusiano na Israel
Oct 07, 2020 01:16Mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Saudi Arabia amewakosoa vikali viongozi wa Palestina kwa kupinga hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo
Oct 01, 2020 04:16Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amelaani hatua ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, mienendo hiyo haitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuufanya utawala huo wa Kizayuni ujihisi umepata kinga zaidi ya kutowajibishwa.
-
Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi
Oct 01, 2020 03:56Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel wamelitumia jukwaa la kila mwaka la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutoa tuhuma za kukakariwa na zisizo na jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baraza la Fiqhi la Sudan laharamisha kuanzisha uhusiano na Israel
Sep 30, 2020 23:42Baraza la Fiqhi ya Kiislamu la Sudan limesema kuwa haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina
Sep 29, 2020 03:30Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa zaidi ya nyumba mia tano za raia wa Palestina.
-
HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza
Sep 22, 2020 22:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeupa utawala wa Kizayuni wa Israel muhula wa miezi miwili wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.