Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani

    Ujumbe wa Wazayuni wakaribishwa Sudan kwa maandamano ya upinzani

    Oct 22, 2020 04:26

    Ujumbe wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umekaribishwa kwa maandamano ya upinzani nchini Sudan.

  • Jumamosi, 17 Oktoba, 2020

    Jumamosi, 17 Oktoba, 2020

    Oct 16, 2020 23:12

    Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria mwafaka na tarehe 17 Oktoba 2020 Miladia.

  • EU yaikosoa Israel kwa kuendelea kupora ardhi za Wapalestina

    EU yaikosoa Israel kwa kuendelea kupora ardhi za Wapalestina

    Oct 16, 2020 04:12

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Taathira hasi za kuendelea vita eneo la kusini mwa Kavkazia

    Oct 08, 2020 23:06

    Kwa kuendelea mapigano baina ya Jamhuri ya Azeribaijan na Armenia, hivi sasa pande hasimu katika vita zimepanua wigo kutoka ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kuingia katika maeneo yenye umuhimu wa kiuchumi.

  • Mwanamfalme wa Saudia akerwa na Palestina kupinga uhusiano na Israel

    Mwanamfalme wa Saudia akerwa na Palestina kupinga uhusiano na Israel

    Oct 07, 2020 01:16

    Mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Saudi Arabia amewakosoa vikali viongozi wa Palestina kwa kupinga hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo

    Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo

    Oct 01, 2020 04:16

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amelaani hatua ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, mienendo hiyo haitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuufanya utawala huo wa Kizayuni ujihisi umepata kinga zaidi ya kutowajibishwa.

  • Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi

    Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi

    Oct 01, 2020 03:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel wamelitumia jukwaa la kila mwaka la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutoa tuhuma za kukakariwa na zisizo na jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Baraza la Fiqhi la Sudan laharamisha kuanzisha uhusiano na Israel

    Baraza la Fiqhi la Sudan laharamisha kuanzisha uhusiano na Israel

    Sep 30, 2020 23:42

    Baraza la Fiqhi ya Kiislamu la Sudan limesema kuwa haijuzu kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    UN: Israel imebomoa zaidi ya nyumba 500 za raia wa Wapalestina

    Sep 29, 2020 03:30

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa zaidi ya nyumba mia tano za raia wa Palestina.

  • HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    Sep 22, 2020 22:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeupa utawala wa Kizayuni wa Israel muhula wa miezi miwili wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS