Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaumiwa kwa kushirikiana kiusalama na Israel

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaumiwa kwa kushirikiana kiusalama na Israel

    Sep 19, 2016 22:13

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema harakati hiyo imesikitishwa na hatua ya Mamlaka ya Ndani ya kushirikiana kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel huku utawala huo haramu ukiendelea kuwaua Wapalestina.

  • Kushtadi jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina

    Kushtadi jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina

    Sep 17, 2016 03:39

    Ripoti zinaarifu kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha jinai na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya raia wa Palestina na katika fremu hiyo Wapalestina wanne wameuliwa shahidi kwa kupigwa risasi.

  • Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'

    Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'

    Sep 16, 2016 10:00

    Leo Ijumaa tarehe 16 Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.

  • Magaidi wahamishia Israel turathi za kihistoria za Syria

    Magaidi wahamishia Israel turathi za kihistoria za Syria

    Sep 15, 2016 02:59

    Gazeti moja la Kizayuni limekiri kuwa, athari za kale zilizoibiwa nchini Syria na magaidi wanaofanya mauaji katika nchi hiyo ya Kiarabu zimepelekwa kwa wingi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kufichuliwa jinai mpya za Israel dhidi ya watoto

    Kufichuliwa jinai mpya za Israel dhidi ya watoto

    Sep 14, 2016 03:38

    Ripoti iliyochapishwa na Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni zimewakasirisha viongozi wa utawala huo.

  • Kuzidi kutengwa Israel katika uga wa kimataifa

    Kuzidi kutengwa Israel katika uga wa kimataifa

    Sep 13, 2016 03:07

    Habari mbalimbali kutoka barani Ulaya zinaeleza kuwa kumekuwepo muelekeo mkubwa zaidi katika bara hilo wa kuususia na kuuwekea vikwazo zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Saudia na Israel zashirikiana katika marasimu ya Hija ya mwaka huu

    Saudia na Israel zashirikiana katika marasimu ya Hija ya mwaka huu

    Sep 11, 2016 09:57

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unashirikiana na Saudi Arabia katika marasimu ya ibada ya Hija mwaka huu.

  • Makubaliano ya Marekani na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yaitia wahaka Israel

    Makubaliano ya Marekani na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yaitia wahaka Israel

    Sep 11, 2016 02:22

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa makubaliano yaliyofikiwa baina ya mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Marekani kuhusu kutekelezwa usitishaji vita nchini Syria ni ushindi kwa Moscow.

  • Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina

    Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina

    Sep 10, 2016 03:03

    Mashirika ya Kimataifa yameonya kuhusu kudorora kwa kiasi kikubwa uchumi wa ardhi za Palestina kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (134)8

    Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (134)8

    Sep 09, 2016 09:16

    Kipindi chetu cha juma hili cha Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain kitaendelea kuzungumzia aya ambazo zinajibu swali letu la kiitikadi kuhusiana na msingi wa Uimamu ambalo tumekuwa tukilijadili katika vipindi kadhaa vilivyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS