-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina yalaumiwa kwa kushirikiana kiusalama na Israel
Sep 19, 2016 22:13Kiongozi mmoja wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema harakati hiyo imesikitishwa na hatua ya Mamlaka ya Ndani ya kushirikiana kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel huku utawala huo haramu ukiendelea kuwaua Wapalestina.
-
Kushtadi jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina
Sep 17, 2016 03:39Ripoti zinaarifu kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umezidisha jinai na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya raia wa Palestina na katika fremu hiyo Wapalestina wanne wameuliwa shahidi kwa kupigwa risasi.
-
Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel katika 'Mauaji ya Sabra na Shatila'
Sep 16, 2016 10:00Leo Ijumaa tarehe 16 Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.
-
Magaidi wahamishia Israel turathi za kihistoria za Syria
Sep 15, 2016 02:59Gazeti moja la Kizayuni limekiri kuwa, athari za kale zilizoibiwa nchini Syria na magaidi wanaofanya mauaji katika nchi hiyo ya Kiarabu zimepelekwa kwa wingi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kufichuliwa jinai mpya za Israel dhidi ya watoto
Sep 14, 2016 03:38Ripoti iliyochapishwa na Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni zimewakasirisha viongozi wa utawala huo.
-
Kuzidi kutengwa Israel katika uga wa kimataifa
Sep 13, 2016 03:07Habari mbalimbali kutoka barani Ulaya zinaeleza kuwa kumekuwepo muelekeo mkubwa zaidi katika bara hilo wa kuususia na kuuwekea vikwazo zaidi utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Saudia na Israel zashirikiana katika marasimu ya Hija ya mwaka huu
Sep 11, 2016 09:57Utawala wa Kizayuni wa Israel unashirikiana na Saudi Arabia katika marasimu ya ibada ya Hija mwaka huu.
-
Makubaliano ya Marekani na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yaitia wahaka Israel
Sep 11, 2016 02:22Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa makubaliano yaliyofikiwa baina ya mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Marekani kuhusu kutekelezwa usitishaji vita nchini Syria ni ushindi kwa Moscow.
-
Israel, chanzo cha kushadidi hali mbaya ya kiuchumi Palestina
Sep 10, 2016 03:03Mashirika ya Kimataifa yameonya kuhusu kudorora kwa kiasi kikubwa uchumi wa ardhi za Palestina kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.
-
Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (134)8
Sep 09, 2016 09:16Kipindi chetu cha juma hili cha Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain kitaendelea kuzungumzia aya ambazo zinajibu swali letu la kiitikadi kuhusiana na msingi wa Uimamu ambalo tumekuwa tukilijadili katika vipindi kadhaa vilivyopita.