Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwekewe vikwazo

    Ripota Maalumu wa UN ataka Israel iwekewe vikwazo

    May 25, 2024 07:32

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ametoa mwito wa kuwekewa vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Upinzani wa Marekani dhidi ya hatua ya nchi za Ulaya ya kulitambua taifa la Palestina

    Upinzani wa Marekani dhidi ya hatua ya nchi za Ulaya ya kulitambua taifa la Palestina

    May 24, 2024 04:25

    Siku ya Jumatano, Ikulu ya Marekani ailitoa taarifa ya kuunga mkono kwa pande zote utawala haramu Israel na kusema kuwa Rais Biden anaamini kwamba taifa la Palestina linapaswa kuanzishwa kupitia mazungumzo na si kutambuliwa kwa upande mmoja na baadhi ya nchi.

  • Hizbullah, Harakati ya Muqawama Iraq zashambulia ngome za Israel

    Hizbullah, Harakati ya Muqawama Iraq zashambulia ngome za Israel

    May 24, 2024 03:52

    Wanamapambano wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq wamefanya operesheni tofauti dhidi ya kambi na ngome za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel, katika maeneo yaliyokaliwa kwa mabavu mwaka 1948, kwa ajili ya kulipiza kisasi cha vita vya umwagaji damu vya Israel dhidi ya Gaza.

  • Wapalestina wengine 60 wauawa na jeshi la Israel huko Gaza

    Wapalestina wengine 60 wauawa na jeshi la Israel huko Gaza

    May 23, 2024 23:30

    Makumi ya watu wakiwemo watoto wadogo na wanawake wanaripotiwa kuuawa shahidi na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Seneta wa Marekani aunga mkono ICC kutoa waranti wa kuwakamata viongozi wa Israel

    Seneta wa Marekani aunga mkono ICC kutoa waranti wa kuwakamata viongozi wa Israel

    May 23, 2024 04:14

    Seneta wa Marekani Bernie Sanders amesema anaunga mkono maombi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) Karim Khan ya kutaka viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakamatwe na ameitaka Marekani iheshimu sheria za kimataifa.

  • Mwanasoka Muislamu atishiwa kuadhibiwa Ufaransa kwa kutoonyesha kwenye jezi yake beji ya kutetea LGBTQ

    Mwanasoka Muislamu atishiwa kuadhibiwa Ufaransa kwa kutoonyesha kwenye jezi yake beji ya kutetea LGBTQ

    May 23, 2024 00:48

    Waziri wa michezo wa Ufaransa ametoa wito kwa klabu ya soka ya Monaco kupewa adhabu baada ya mchezaji wake kuficha kwenye jezi yake ujumbe wa kutetea 'ushoga' wakati wa mechi ya mwisho ya ligi ya nchi hiyo iliyofanyika siku ya Jumapili.

  • Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    May 19, 2024 07:55

    Alhamisi Mei 16, Baraza la Wawakilishi la Marekani, Congress, lilikosoa uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Joe Biden wa Marekani wa kuzuia kutumwa shehena ya silaha kwa Israel, na kupasisha mswada chini ya anwani "Misaada kwa ajili ya Usalama wa Israel", ambao ulimtaka Biden asizuie tena kutumwa silaha Israeli kwa kisingizio chochote kile.

  • Afrika Kusini yaiomba Mahakama ya ICJ: Israel 'lazima izuiwe'

    Afrika Kusini yaiomba Mahakama ya ICJ: Israel 'lazima izuiwe'

    May 17, 2024 04:52

    Afrika Kusini imeitaka Mahakama Kuu ya Umoja wa Mataifa iamuru kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Rafah kama sehemu ya kesi yake iliyofungua mjini The Hague inayoushutumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mauaji ya kimbari, ikisema utawala huo "lazima uzuiwe" ili kunusuru maisha ya Wapalestina.

  • Mawaziri 13 wa Mambo ya Nje wakiwemo 6 wa G7 waitaka Israel isitishe uvamizi wa ardhini wa Rafah

    Mawaziri 13 wa Mambo ya Nje wakiwemo 6 wa G7 waitaka Israel isitishe uvamizi wa ardhini wa Rafah

    May 17, 2024 04:46

    Shirika la habari la DPA la Ujerumani limeripoti kuwa mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 13 wametia saini barua ya kuuonya na kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe uvamizi wake wa ardhini katika eneo la Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza na kuruhusu misaada zaidi kuwafikia Wapalestina.

  • HAMAS: Mashambulio ya Israel yameua 70% ya mateka wa Kizayuni

    HAMAS: Mashambulio ya Israel yameua 70% ya mateka wa Kizayuni

    May 17, 2024 04:43

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, unaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu, yameua asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni, ambao wanashikiliwa na harakati hiyo ya muqawama tangu ilipotekelezwa operesheni ya mwezi Oktoba ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS