Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel

    Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel

    Apr 26, 2024 07:37

    Bunge la Ulaya limedhihirisha tena sera za undumilakuwili za Magharibi kwa kupitisha azimio la kulaani shambulio la hivi karibuni la kujibu mapigo lililofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzitolea wito nchi wanachama za umoja huo ziiwekee Tehran vikwazo vingine vipya na vikali zaidi.

  • Marekani yashadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wa Palestina

    Marekani yashadidisha ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wa Palestina

    Apr 25, 2024 23:39

    Marekani ndiyo muungaji mkono mkubwa zaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel ambapo serikali ya Biden imetoa msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na silaha kwa Tel Aviv wakati wa vita vya Gaza, ambavyo vimeingia katika mwezi wake wa saba.

  • Hizbullah: Tumeua na kujeruhi askari 2,000 wa Israel katika operesheni 1,650 tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Hizbullah: Tumeua na kujeruhi askari 2,000 wa Israel katika operesheni 1,650 tangu vilipoanza vita vya Ghaza

    Apr 25, 2024 08:46

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imeua na kujeruhi zaidi ya wanajeshi 2,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika operesheni zake 1,650 ilizotekeleza katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.

  • Waandishi wakosoaji wa Israel wasusia tamasha la jumuiya ya PEN America

    Waandishi wakosoaji wa Israel wasusia tamasha la jumuiya ya PEN America

    Apr 23, 2024 06:54

    Tamasha ya Jumuiya ya Kalamu ya Marekani (PEN America) imefutwa kutokana na ukosoaji mkubwa wa waandishib walioalikwa katika sherehe hiyo dhidi ya jinai na uhalifu unaofanywa na Israel huko Gaza.

  • Haniyeh: Marekani inailinda kisiasa Israel mkabala wa mauaji ya kimbari ya utawala huo

    Haniyeh: Marekani inailinda kisiasa Israel mkabala wa mauaji ya kimbari ya utawala huo

    Apr 21, 2024 04:22

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas ameikosoa Marekani kwa kuzuia kutambuliwa taifa la Palestina katika Umoja wa Mataifa, akiishutumu Washington kuwa inaipatia Israel ulinzi wa kisiasa kwa mauaji ya kimbari dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • OIC yalaani hatua ya Marekani kuzuia azma ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    OIC yalaani hatua ya Marekani kuzuia azma ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    Apr 19, 2024 23:29

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Marekani ya kuzuia ombi la Palestina la kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa, huku Israel ikiendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kwa msaada wa baadhi ya nchi za Magharibi hususan Marekani.

  • Watalii wanne Waisraeli watimuliwa hotelini Zanzibar baada ya kulalamikia picha ya bendera ya Palestina

    Watalii wanne Waisraeli watimuliwa hotelini Zanzibar baada ya kulalamikia picha ya bendera ya Palestina

    Apr 19, 2024 03:59

    Raia wanne wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamefukuzwa na kutolewa hotelini visiwani Zanzibar, Tanzania baada ya kulalamikia beji ya bendera ya Palestina iliyoandikwa juu yake maandishi ya kutetea uhuru wa Palestina.

  • Shambulio la makombora la Hizbullah lajeruhi askari 14 wa Israel, sita wako mahututi

    Shambulio la makombora la Hizbullah lajeruhi askari 14 wa Israel, sita wako mahututi

    Apr 18, 2024 03:38

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imehusika na shambulio lililolenga kituo cha kijeshi kaskazini mwa 'Israel' na kuwajeruhi wanajeshi wasiopungua 14, na kusema, shambulio hilo limefanywa kulipiza kisasi cha mashambulizi ya utawala wa Kizayuni yaliyoua wanachama wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu.

  • Mkuu wa UNRWA alaumu vikali hila ya Israel ya kutaka shirika hilo la kusaidia Wapalestina livunjwe

    Mkuu wa UNRWA alaumu vikali hila ya Israel ya kutaka shirika hilo la kusaidia Wapalestina livunjwe

    Apr 18, 2024 02:51

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kuwasaidia Wapalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini amelaumu vikali kampeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulisambaratisha shirika hilo.

  • Borrell: Ukraine isiombe kupewa msaada na Magharibi kama iliopewa Israel katika shambulio la Iran

    Borrell: Ukraine isiombe kupewa msaada na Magharibi kama iliopewa Israel katika shambulio la Iran

    Apr 18, 2024 02:19

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amesema, Ukraine haipaswi kuomba msaada wa aina ile ile ambayo nchi za Magharibi zilitoa kwa Israel wakati wa shambulio la kijeshi la Iran kwa sababu hali hizo mbili haziwezi kulinganishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS