Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Mazungumzo ya kusaka amani CAR kufanyika Khartoum, Sudan

    Mazungumzo ya kusaka amani CAR kufanyika Khartoum, Sudan

    Jan 20, 2019 10:39

    Duru mpya ya mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na makundi 14 ya upinzani imepangwa kufanyika wiki ijayo mjini Khartoum, Sudan.

  • Russia kufungua kituo cha kijeshi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Russia kufungua kituo cha kijeshi Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 11, 2019 12:25

    Russia inatafakari kufungua kituo cha kijeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, ambako tayari Moscow inaendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa nchi hiyo ya Kiafrika.

  • AU na UN zafufua mazungumzo ya amani Jamhuri ya Afrika ya Kati

    AU na UN zafufua mazungumzo ya amani Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 09, 2019 13:28

    Maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa wako katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa lengo la kuhuisha mchakato wa mazungumzo ya amani uliokwama tangu Julai mwaka 2017.

  • CAR yahitaji dola milioni 430 kuwasaidia wananchi 2019

    CAR yahitaji dola milioni 430 kuwasaidia wananchi 2019

    Jan 08, 2019 03:48

    Jamhuri ya Afrika ya kati, CAR inaendelea kukabiliwa na janga la kibinadamu ambapo mtu mmoja kati ya wanne ni mkimbizi wa ndani au nje ya nchi, imesema Ofisi ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, OCHA.

  • Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Nov 30, 2018 23:16

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema thuluthi mbili ya watoto wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura haraka iwezekenavyo.

  • 'Rambo' aliyeongoza mauaji ya Waislamu wa CAR akabidhiwa ICC

    'Rambo' aliyeongoza mauaji ya Waislamu wa CAR akabidhiwa ICC

    Nov 18, 2018 10:48

    Mbabe wa kivita aliyeongoza kundi la wanamgambo wa Kikristo katika mauaji, utesaji na kufukuzwa makwao Waislamu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amekamatwa na kukabidhiwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Hofu ya Katibu Mkuu wa UN baada ya mauaji CAR

    Hofu ya Katibu Mkuu wa UN baada ya mauaji CAR

    Nov 18, 2018 03:37

    Kufuatia mashambulizi ya wiki hii nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati , CAR, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema anashikamana na taifa hilo na kuonya kwamba mashambulizi dhidi ya raia wasio na hatia wasioweza kujitetea na walinda amani wa Umoja wa Mataifa yanaweza kuwa ni uhalifu wa kivita.

  • 42 wapoteza maisha katika mapigano ya Wakristo na Waislamu CAR + Sauti

    42 wapoteza maisha katika mapigano ya Wakristo na Waislamu CAR + Sauti

    Nov 17, 2018 13:03

    Watu wasiopungua 42 wanaripotiwa kuuawa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, kufuatia mapigano kati ya makundi hasimu ya Wakristo na Waislamu.

  • UN: Watu milioni 2 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula CAR

    UN: Watu milioni 2 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula CAR

    Nov 08, 2018 12:19

    Mpango wa Chakula Duniani WFP umesema watu milioni mbili wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura wa chakula huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • António Guterres asisitiza umuhimu wa kuimarishwa nafasi ya askari wa Umoja wa Mataifa katika kurejesha usalama nchini CAR

    António Guterres asisitiza umuhimu wa kuimarishwa nafasi ya askari wa Umoja wa Mataifa katika kurejesha usalama nchini CAR

    Oct 23, 2018 23:21

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ameutaka umoja huo kuimarisha nafasi yake nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS