-
Kituo cha kutibu Ebola Butembo, DRC chahujumiwa
Mar 01, 2019 04:27Kituo cha kutibu Ebola huko Butembo, jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kimehujumiwa na watu wasiojulikana.
-
HRW: Polisi ya Kongo DR iliua watu 27 katika 'Operesheni ya Likofi'
Feb 21, 2019 22:59Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliwaua watu 27 katika operesheni dhidi ya magenge ya uhalifu katika mji mkuu Kinshasa, mwaka jana.
-
Ripoti: Wanawake Kongo DR wananunua chanjo ya Ebola kwa ngono
Feb 13, 2019 04:13Vyanzo mbalimbali ya habari vimeripoti kuwa, wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanalazimika kufanya ngono mkabala wa kupewa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, ambao umeua mamia ya watu kufikia sasa.
-
Jeshi la Kongo DR laua magaidi wanne mjini Beni
Feb 12, 2019 23:03Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi la ADF, mashariki mwa nchi.
-
Ubelgiji yatakiwa kuiomba radhi DRC kwa jinai za enzi za ukoloni
Feb 12, 2019 10:55Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameitaka Ubelgiji iiombe radhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na jinai ilizowafanyia Wakongomani katika kipindi cha ukoloni.
-
Kenya kumsaidia Rais Felix Tshisekedi kurejesha utulivu DRC
Feb 07, 2019 11:14Katika hatua inayoonesha ni ya kuzidi kuunga mkono juhudi za kuleta amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Nairobi iko tayari kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa sekta ya umma wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kama sehemu ya kuisaidia nchi hiyo kuwa na utulivu wa kudumu na watu wake kuishi kwa usalama na amani.
-
Jumatano tarehe 30 Januari 2019
Jan 29, 2019 21:39Leo ni Jumatano tarehe 23 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na Januari 30 mwaka 2019.
-
MONUSCO yatuma askari zaidi katika kijiji cha Yumbi DRC + Sauti
Jan 28, 2019 23:00Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO umetuma askari zaidi katika kijiji cha Yumbi mkoani Maindombe, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Kinshasa mahali palipotokea mapigano ya kikabila mwishoni mwa mwezi Disemba mwaka jana. Mossi Mwassi na maelezo zaidi...
-
Wanafunzi wanne wauawa katika ghasia Kongo
Jan 28, 2019 10:43Wanafunzi watatu na afisa wa polisi wameaga dunia kufuatia ghasia zilizotokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kukatika huduma ya umeme na maji.
-
Tshisekedi aapishwa kuwa Rais mpya wa Congo DR + Sauti
Jan 24, 2019 12:27Kiongozi wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi amepishwa leo kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo akimrithi Rais Joseph Kabila aliyemaliza muda wake. Hatua hiyo inahesabiwa kuwa ya kwanza katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika ya kukabidhiana madaraka kwa njia ya amani na ya kidemokrasia katika kipindi hote cha miaka 59 iliyopita.