Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC yafunga mbunga ya wanyamapori ya Virunga baada ya mashambulizi

    DRC yafunga mbunga ya wanyamapori ya Virunga baada ya mashambulizi

    Jun 05, 2018 03:45

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kusitisha shughuli za utalii ndani ya Mbuga ya Wanyamapori ya Virunga hadi mwaka ujao kufuatia mashambulizi kadhaa na utekaji nyara ndani ya mbuga hiyo.

  • Iran na Kongo DR, wahanga wa propaganda za vyombo vya habari

    Iran na Kongo DR, wahanga wa propaganda za vyombo vya habari

    Jun 04, 2018 10:15

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Vyombo vya Habari katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (ACP) ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na propaganda za maadui dhidi ya nchi mbili hizo.

  • Chama tawala DRC chamuandalia Kabila mazingira ya kugombea muhula wa tatu

    Chama tawala DRC chamuandalia Kabila mazingira ya kugombea muhula wa tatu

    May 30, 2018 03:00

    Chama tawala katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimemuandalia Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo mazingira ya kugombea urais kwa muhula wa tatu, licha ya lalama na makelele kutoka vyama vya upinzani.

  • Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    Chanjo ya Ebola yaanza kutolewa vijijini Kongo DR

    May 27, 2018 23:21

    Wizara ya Afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Jumatatu inaaza kupeana chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola katika vijiji viwili vilivyoathiriwa na mlipuko wa sasa wa maradhi hayo.

  • Watu 30 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    Watu 30 wauawa katika mapigano mashariki mwa Kongo DR

    May 27, 2018 02:44

    Watu 30 wameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo wa Mai-Mai mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR

    Watu 49 waghariki katika ajali ya boti mtoni kaskazini mwa Kongo DR

    May 25, 2018 02:26

    Watu 49 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya boti kuzama mtoni kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    Wagonjwa watatu wa Ebola watoroka karantini nchini Kongo + Sauti

    May 23, 2018 10:05

    Wagonjwa watatu walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola wametoroka eneo la karantini walimokuwa katika hospitali moja huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mji wa Mbandaka huku madakatari wakiwa mbioni kuzuia ugonjwa huo hatari kuenea.

  • War Child: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi 'kwa khiari' DRC

    War Child: Watoto wanajiunga na makundi ya waasi 'kwa khiari' DRC

    May 23, 2018 03:07

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za watoto walioathiriwa na migogoro duniani la War Child limesema aghalabu ya watoto wadogo wanaoujiunga na makundi ya waasi wanaobeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanafanya hivyo kwa khiari kwa sababu hawana chaguo mbadala.

  • Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi

    Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi

    May 22, 2018 23:07

    Utendaji dhaifu wa jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kukabiliana na waasi wa maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, umewakasirisha wakazi wa maeneo hayo na kuamua kufanya maandamano.

  • Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    Chanjo ya Ebola kuanza kutolewa Kongo DR kesho Jumatatu

    May 20, 2018 09:59

    Wafanyakazi wa sekta ya afya wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wataanza kupewa chanjo ya Ebola kesho Jumatatu katika juhudi za kuzuia kuenea ugonjwa huo hatari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS