Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UNHCR: Kuna wasiwasi wa wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kumiminika DRC

    UNHCR: Kuna wasiwasi wa wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kumiminika DRC

    May 19, 2018 09:18

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeeleza wasiwasi lilionao juu ya uwezekano wa wakimbizi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati kuelekea kwa wingi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • WHO yatuma dozi ya kwanza ya ugonjwa Ebola nchini Kongo DRC

    WHO yatuma dozi ya kwanza ya ugonjwa Ebola nchini Kongo DRC

    May 16, 2018 23:54

    Shirika la Afya Duniani WHO limetuma shehena ya kwanza ya dozi 4,000 za chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • SAUTI, Hatua ya Rais Kabila ya kuwateua majaji wapya, yanyoshewa kidole cha lawama na wapinzani

    SAUTI, Hatua ya Rais Kabila ya kuwateua majaji wapya, yanyoshewa kidole cha lawama na wapinzani

    May 15, 2018 12:07

    Mwenendo wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wa kuwateua viongozi wa serikali umeendelea kukosolewa na asasi mbalimbali za nchi hiyo.

  • WHO yapewa idhini ya kutumia chanjo ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO yapewa idhini ya kutumia chanjo ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    May 14, 2018 22:43

    Maafisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelipatia idhini Shirika la Afya Duniani (WHO) kuingiza na kutumia nchini humo chanjo ya majaribio ya ugonjwa wa Ebola. Hayo yameelezwa jana na Dakta Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa WHO.

  • UN: Wakimbizi 15,000 kutoka Sudan Kusini, DRC wameingia Uganda Aprili

    UN: Wakimbizi 15,000 kutoka Sudan Kusini, DRC wameingia Uganda Aprili

    May 12, 2018 23:46

    Ripoti mpya ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR imebainisha kuwa, wakimbizi 15,000 hususan kutoka nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini wameingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Aprili.

  • UNICEF: Watoto laki 4 Kongo DR wapo katika hatari ya kufa njaa

    UNICEF: Watoto laki 4 Kongo DR wapo katika hatari ya kufa njaa

    May 12, 2018 02:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto laki nne wapo katika ncha ya kupoteza maisha kutokana na baada la njaa linalowasakama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC

    WHO yatahadharisha juu ya kuibuka tena ugonjwa wa Ebola huko DRC

    May 11, 2018 23:47

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kuibuka tena ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • ICC yasisitiza kuchunguzwa jinai za kivita zilizofanywa Kongo DR

    ICC yasisitiza kuchunguzwa jinai za kivita zilizofanywa Kongo DR

    May 05, 2018 22:05

    Mkuu wa Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametaka uanzishwe uchunguzi kuhusu ripoti za ukiukaji haki za binadamu uliofanywa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kupandishwa kizimbani waliohusika na vitendo hivyo.

  • Mwendesha Mashtaka wa ICC yuko DRC kuchunguza jinai dhidi ya binadamu

    Mwendesha Mashtaka wa ICC yuko DRC kuchunguza jinai dhidi ya binadamu

    May 02, 2018 10:25

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, yuko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuchunguza jinai za kutisha zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika nchini humo.

  • Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    Polisi ya Rwanda yawakamata makumi ya wakimbizi wa Kongo DR

    May 02, 2018 10:25

    Polisi ya Rwanda imewatia nguvuni wakimbizi 23 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini humo, kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mawe maafisa waandamizi wa polisi na serikali, waliotembelea kambi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS