-
Kundi la watu wenye silaha latiwa mbaroni Bunia Kongo
Nov 17, 2016 00:54Inspekta wa Polisi katika mkoa wa Ituri nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameripoti kutiwa mbaroni kundi moja la watu wenye silaha katika mji wa Bunia nchini humo.
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ajiuzulu
Nov 14, 2016 11:39Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Augustin Matata Ponyo amesema leo kuwa amejiuzulu wadhifa huo sambamba na mwafaka wa kisiasa uliofikiwa nchini humo ambao unamuongezea muda wa kubakia madarakani Rais Joseph Kabila.
-
5 wauawa katika hujuma dhidi ya msafara wa waziri DRC
Nov 14, 2016 04:26Kwa akali watu watano wameuawa katika shambulio lililolenga msafara wa waziri katika mkoa wa Kivu Kusini, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Umoja wa Mataifa wataka kuheshimiwa haki za waandamanaji Congo DR
Nov 13, 2016 04:43Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuheshimu haki za kimsingi za raia wa nchi hiyo.
-
Nchi jirani na Kongo DR zatuhumiwa kukiuka makubaliano ya Addis Ababa
Nov 11, 2016 12:20Kamati ya Utekelezaji Makubaliano ya Addis Ababa imezituhumu nchi jirani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zimekiuka makubaliano hayo kwa kuwapa hifadhi waasi wa zamani wa nchini humo.
-
Ulimwengu wa Michezo, Nov 7
Nov 07, 2016 04:28Mkusanyiko wa matukio kem kem ya spoti yalitoawala anga mbali mbali ndani ya siku saba zilizopita......................
-
Polisi Kongo DR wazima maandamano ya wapinzani Kinshasa
Nov 06, 2016 04:04Maafisa wa polisi wa kupambana na ghasia wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wapinzani katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.
-
Serikali ya DRC yatakiwa kuimarisha usalama katika mji wa Bunia
Nov 02, 2016 04:18Harakati ya Vijana wa Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewataka viongozi wa serikali kuchukua hatua za lazima kwa ajili ya kuimarisha usalama katika mji huo wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waasi wa Maï-Maï watakiwa kuweka chini silaha DRC
Oct 28, 2016 03:53Jumuiya za kiraia katika mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, zimewataka waasi wa Maï-Maï kuweka chini silaha zao.
-
Wanaharakati kadhaa wa kijamii wakamatwa DRC
Oct 26, 2016 11:49Wanaharakati kadhaa wa masuala ya kijamii wametiwa mbaroni huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kutuma barua kwa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kulalamikia makubaliano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya serikali na baadhi ya wapinzani nchini humo.