Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Aug 02, 2016 07:30

    Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.

  • Askri kadhaa wa Libya wauawa katika mapigano mapya Sirte

    Askri kadhaa wa Libya wauawa katika mapigano mapya Sirte

    Jul 30, 2016 08:03

    Mapigano mapya baina ya askari wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya na genge la kigaidi la Daesh yamesababisha mauaji ya askari watano wa serikali katika mji wa Sirte, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • 39 wauawa na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya kambi ya jeshi Mali

    39 wauawa na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya kambi ya jeshi Mali

    Jul 20, 2016 07:31

    Askari 12 wa jeshi la Mali wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa na waasi mapema jana katikati mwa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.

  • Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Amoli Larijani: Uislamu hauna uhusiano na ugaidi

    Jul 18, 2016 14:00

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema Uislamu hauna uhusiano na ugaidi na kuongeza kuwa kile kinachodaiwa kuwa ni 'Ugaidi wa Kiislamu' ni fikra ya Wamagharibi ambao wanaunga mkono kundi la kigaidi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya wakufurishaji.

  • Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Zimbabwe imeshindwa kulilipa jeshi kwa mwezi wa pili mfululizo

    Jul 16, 2016 04:32

    Zimbabwe imeshindwa kulipa mishahara ya jeshi la nchi hiyo kwa wakati kwa mwezi wa pili mfululizo sasa.

  • Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jaribio la Mapinduzi ya Kijeshi Uturuki, Rais Erdogan Aapa kuwaadhibu wahusika

    Jul 16, 2016 03:53

    Kumejiri jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Uturuki Ijumaa usiku huku watu 42 wakiripotiwa kupoteza maisha katika mji mkuu Ankara na Rais ReccepTayyib Erdogan akisema jaribio hilo limeshindwa.

  • Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Wanajeshi 115 wauawa katika mapigano Juba, Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 14:56

    Wanajeshi wasiopungua 115 wameuawa Sudan Kusini katika mapignao baina ya mirengo hasimu serikalini katika mji mjuu Juba.

  • Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jeshi la Kenya laua wanachama 4 wa al-Shabaab, Lamu

    Jun 30, 2016 03:34

    Askari wa Kenya wamewaangamiza wanamgambo wanne wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika kaunti ya Lamu.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 13:23

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Wanajeshi kadhaa DRC wakamatwa mkoani Ituri

    Wanajeshi kadhaa DRC wakamatwa mkoani Ituri

    Jun 13, 2016 07:08

    Wanajeshi kadhaa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) wametiwa mbaroni katika mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS