-
Kiongozi Muadhamu: Majeshi ya Iran yawe tayari kukabiliana na adui
Sep 28, 2016 10:26Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa majeshi nchini kujiimarisha kiitikadi, kielimu na kinidhamu sambamba na kuwapa wanajeshi vijana uzoefu wa zama za Kujihami Kutakatifu.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu kuimarishwa uwezo wa kujihami na kushambulia
Sep 01, 2016 03:20Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Iran siku ya Jumatano alisisitiza ulazima wa nchi hii kujiimarisha katika sekta za kujihami na kumshambulia adui.
-
Jeshi la Iraq limeangamiza Madaesh 700 katika kisiwa cha Khalidiya
Aug 18, 2016 22:21Jeshi la Iraq limetangaza kuwa limefanikiwa kuangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kukomboa kisiwa cha Khalidiya, kilichopo mashariki mwa mji wa Ramadi, magharibi mwa mkoa wa Anbar.
-
Watu 5 wauawa katika mapigano Mali, askari 5 watoweka
Aug 09, 2016 23:08Kwa akali watu watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano makali yaliyojiri kati kati ya Mali, huku duru za kiusalama zikiarifu kuwa askari watano wa serikali wametoweka baada ya kujiri mapigano hayo.
-
Jeshi la Yemen laangamiza mamluki 52 wa Saudia
Aug 07, 2016 09:16Jeshi la Yemen limefanikiwa kuangamiza makumi ya mamluki wa Saudi Arabia mashariki mwa mji mkuu Sanaa.
-
Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19
Aug 07, 2016 08:43Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
-
Waasi wa FLEC wadai kuua askari 17 wa jeshi la Angola
Aug 02, 2016 03:27Waasi wa kundi linalopigania kujitenga eneo la Cabinda nchini Angola FLEC wamedai kwamba wameua askari 17 wa nchi hiyo katika makabiliano makali yaliyojiri mwishoni mwa wiki iliyomalizika.
-
Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe
Aug 02, 2016 03:00Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.
-
Askri kadhaa wa Libya wauawa katika mapigano mapya Sirte
Jul 30, 2016 03:33Mapigano mapya baina ya askari wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya na genge la kigaidi la Daesh yamesababisha mauaji ya askari watano wa serikali katika mji wa Sirte, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
39 wauawa na kujeruhiwa katika hujuma dhidi ya kambi ya jeshi Mali
Jul 20, 2016 03:01Askari 12 wa jeshi la Mali wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa na waasi mapema jana katikati mwa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.