Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Raila Odinga kuanzisha tena vuguvugu la maandamano dhidi ya sera ya ushuru wa Rais Ruto wa Kenya

    Raila Odinga kuanzisha tena vuguvugu la maandamano dhidi ya sera ya ushuru wa Rais Ruto wa Kenya

    Dec 31, 2023 08:51

    Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, amesema kwamba katika mwaka mpya ataanzisha vuguvugu wa kuwahamasisha Wakenya kupinga ubadhirifu wa serikali ikiwa ni pamoja na kutoza ushuru mkubwa kuzuia fedha za elimu bila malipo na ufisadi.

  • Jumanne, Disemba 12, 2023

    Jumanne, Disemba 12, 2023

    Dec 12, 2023 03:02

    Leo ni Jumanne tarehe 28 Mfunguo Nane Jumadil Awwal 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Disemba 2023.

  • Rais Ruto: Kenya imeweka mikakati ya kukabiliana na athari za mafuriko

    Rais Ruto: Kenya imeweka mikakati ya kukabiliana na athari za mafuriko

    Nov 25, 2023 13:36

    Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali yake imeweka mipango ya kuwasaidia raia ambao wameathirika na mafuriko yanayoendelea kuripotiwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwenye kanda ya Afrika Mashariki.

  • Maonyesho ya picha yafanyika Nairobi, Kenya kwa lengo la kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Maonyesho ya picha yafanyika Nairobi, Kenya kwa lengo la kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Nov 21, 2023 12:52

    Waislamu na watetezi wa Palestina nchini Kenya wamefanya maonyesho ya picha na michoro inayoakisi matukio ya vita vya Gaza ili kuonyesha mshikamano na namna wanavyoumizwa na hali ya wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Bunge la Kenya laidhinisha mpango wa nchi hiyo kutuma vikosi vya polisi Haiti

    Bunge la Kenya laidhinisha mpango wa nchi hiyo kutuma vikosi vya polisi Haiti

    Nov 16, 2023 12:49

    Bunge la Kenya leo Alhamisi limeidhinisha kutumwa kwa maafisa wa polisi elfu moja katika nchi ya Haiti iliyotumbukia katika machafuko na ghasia za magenge yenye silaha.

  • Ongezeko la vyama vya siasa Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027, mradi wa kibiashara?

    Ongezeko la vyama vya siasa Kenya kabla ya uchaguzi wa 2027, mradi wa kibiashara?

    Oct 29, 2023 14:20

    Ongezeko la vyama vya siasa vinavyojiandikisha nchini Kenya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027 limetajwa kuwa ni mradi wa viongozi wa vyama hivyo kwa ajili ya kujipatia kitita kikubwa cha fedha za walipakodi wa Kenya.

  • Wakenya wawasha mishumaa kuonyesha mshikamano na Wapalestina

    Wakenya wawasha mishumaa kuonyesha mshikamano na Wapalestina

    Oct 15, 2023 11:28

    Wananchi wa Kenya wamekusanyika na kuwawasha mishumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi kuonyesha mshikamano wao na wananchi wa Palestina. Mashirika yaliyoandaa shughuli hiyo ni pamoja na Kenyans 4 Palestine, The Pan African Palestine Solidarity Network (PAPSN) na podkasti ya 'Until Everyone is Free.'

  • Waislamu Kenya wapinga hatua ya Mahakama ya Juu kuruhusu mashoga kusajiliwa

    Waislamu Kenya wapinga hatua ya Mahakama ya Juu kuruhusu mashoga kusajiliwa

    Sep 24, 2023 03:14

    Viongozi na wasomi wa dini ya Kiislamu wa Kenya wamelaani vikali uamuzi wa Mahakama ya Juu kuruhusu makundi ya mashoga na wasagaji kusajiliwa.

  • Rais wa Kenya: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halifai, libadilishwe

    Rais wa Kenya: Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halifai, libadilishwe

    Sep 22, 2023 07:34

    Takwa la muda mrefu la viongozi wengi hususan kutoka Barani Afrika la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililoundwa tarehe 25 Octoba mwaka 1945 kufanyiwa marekebisho makubwa limeendelea kuchukua nafasi katika hotuba za viongozi wa ngazi za juu wanaohutubia katika mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la UN jijini New York ambapo Rais William Ruto wa Kenya amesema sababu zote za kulifanyia marekebisho baraza hilo zipo wazi.

  • Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Kenya kupeleka vikosi maalumu pwani na kaskazini kukabiliana na ukosefu wa usalama

    Sep 21, 2023 02:35

    Serikali ya Kenya inapanga kupeleka vikosi maalumu katika maeneo ya kaskazini na pwani ili kukabiliana na tishio la ugaidi kufuatia ongezeko la mashambulizi ya kigaidi katika maeneo hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS