Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Balozi wa Kenya nchini Iran atembelea viwanda vya uzalishaji Arak

    Aug 21, 2023 11:09

    Balozi wa Kenya mjini Tehran ametembelea viwanda vya uzalishaji katika mji wa Arak, makao makuu ya mkoa wa Markazi, unaofahamika kama mji mkuu wa viwanda wa Iran.

  • Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Shambulio la kigaidi la Al-Shabaab laua watu wawili na kujeruhi wengine 10 Lamu, Kenya

    Aug 02, 2023 07:57

    Watu wawili wameaga dunia na wengine wapatao 10 wamejeruhiwa, akiwemo diwani wa eneo moja wakati magaidi 60 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi la Al-Shabaab walipovamia magari katika eneo la Mwembeni, karibu na Lango la Simba kwenye barabara kuu ya Lamu-Witu-Garsen nchini Kenya.

  • Kenya yasema iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa cha kurejesha utulivu Haiti

    Kenya yasema iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa cha kurejesha utulivu Haiti

    Jul 31, 2023 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Alfred Mutua amesema nchi yake iko tayari kuongoza kikosi cha kimataifa nchini Haiti; na itapeleka maafisa 1,000 wa polisi katika taifa hilo la Karibean lililokumbwa na mapigano mara tu pendekezo lake litakapokubaliwa.

  • Odinga alaani ukatili wa polisi, asema Ruto alikatiza juhudi za upatanishi za Rais Samia

    Odinga alaani ukatili wa polisi, asema Ruto alikatiza juhudi za upatanishi za Rais Samia

    Jul 25, 2023 15:20

    Kiongozi mkongwe wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga leo Jumanne amelaani "ukatili usio na kifani wa polisi" wakati wa maandamano ya kupinga serikali na gharama za juu za maisha ambayo yamekuwa yakifanyika katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika miezi ya hivi karibuni.

  • Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Balozi wa Iran nchini Kenya: Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kupanua ushirikiano na nchi za Afrika

    Jul 14, 2023 08:02

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema kuwa utendaji wa Serikali ya Awamu ya 13 umekuwa na mafanikio katika kupanua ushirikiano na Kenya.

  • Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Rais Raisi alakiwa rasmi na Rais Yoweri Museveni wa Uganda Ikulu ya Entebe

    Jul 12, 2023 15:38

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Uganda akiendelea na ziara yake ya kieneo barani Afrika ambapo amelakiwa na kukaribishwa rasmi na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa nchi hiyo katika Ikulu ya Entebe.

  • Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Iran na Kenya zatiliana saini hati tano za ushirikiano

    Jul 12, 2023 07:24

    Iran na Kenya zimetiliana saini hati tano za ushirikiano katika nyuga tofauti za mawasiliano, uvuvi, kilimo, afya na elimu ya ufundi, maarifa na matibabu.

  • Kenya yaakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia

    Kenya yaakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia

    Jul 06, 2023 04:32

    Kenya jana ilitangaza kuwa imeakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia baada ya mashambulizi ya karibuni katika ardhi yake. Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake Somalia linatuhumiwa kuhusika na mashambulizi hayo.

  • Watu 50 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 50 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Jul 01, 2023 06:26

    Watu wasiopungua 50 wameaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi katika kaunti ya Kericho, magharibi mwa eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya.

  • IGAD yasema, Ruto ataendelea kuwa mpatanishi wake katika mzozo wa Sudan licha ya Jenerali Al Burhan kumkataa

    IGAD yasema, Ruto ataendelea kuwa mpatanishi wake katika mzozo wa Sudan licha ya Jenerali Al Burhan kumkataa

    Jun 16, 2023 11:09

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) imesema uteuzi wa Ruto utabaki palepale kama mpatanishi wa jumuiya hiyo katika mzozo wa ndani nchini Sudan licha ya kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Jenerali Abdel Fattah al Burhan kumktaa akiituhumu Nairobi kwamba inamuunga mkono mpinzani wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS