Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufutwa vikwazo

  • Iran: Mafanikio yetu katika uga wa teknolojia ni pigo kwa maadui

    Iran: Mafanikio yetu katika uga wa teknolojia ni pigo kwa maadui

    Sep 15, 2024 07:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, hatua ya satelaiti ya utafiti ya Iran iliyopewa jina la "Chamran-1" kurushwa katika anga za mbali kwa mafanikio ni pigo kwa maadui wanaoliwekea taifa hili vikwazo visivyo na mantiki.

  • Umoja wa Ulaya kuwawekea vikwazo mawaziri wa Israel

    Umoja wa Ulaya kuwawekea vikwazo mawaziri wa Israel

    Aug 30, 2024 02:40

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amewataka mawaziri wa mambo ya nje wa EU kuzingatia vikwazo dhidi ya mawaziri wa Israel.

  • Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Jul 12, 2024 03:04

    Mahakama moja nchini Iran imeiagiza Marekani kulipa takriban dola bilioni 7 kama fidia kwa waathiriwa wa ugonjwa wa ngozi wa Epidermolysis Bullosa (EB) nchini Iran.

  • Waziri: Uzalishaji wa gesi ya Iran umeongezeka licha ya vikwazo

    Waziri: Uzalishaji wa gesi ya Iran umeongezeka licha ya vikwazo

    Mar 03, 2024 04:39

    Waziri wa Mafuta wa Iran amesema uzalishaji wa gesi ya Jamhuri ya Kiislamu umeendelea kuongezeka siku baada ya siku, licha ya vikwazo vya Wamagharibi dhidi ya sekta ya nishati ya taifa hili.

  • Sudan Kusini: Madola makubwa yanatumia vikwazo kubinya nchi zinazoendelea

    Sudan Kusini: Madola makubwa yanatumia vikwazo kubinya nchi zinazoendelea

    Mar 02, 2024 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Kusini amesema moja ya changamoto kuu zinazozikabili nchi maskini za ulimwengu wa tatu ni vikwazo vya madola makubwa duniani dhidi yazo.

  • Jumuiya ya ECOWAS yaiondolea vikwazo Niger

    Jumuiya ya ECOWAS yaiondolea vikwazo Niger

    Feb 25, 2024 09:51

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS imetangaza habari ya kuiondolea Niger vikwazo vya kiuchumi na kifedha.

  • "US inakiuka Hati ya UN kwa kutishia kuiwekea tena vikwazo Venezuela"

    Feb 01, 2024 12:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kutishia kuiwekea upya vikwazo sekta ya mafuta ya Venezuela na kusisitiza kuwa, kkitendo hicho kinakanyaga Hati ya Umoja wa Mataifa na sheria ya kimataifa.

  • Tehran yalaani vikwazo vya EU dhidi ya Wizara ya Ulinzi ya Iran

    Tehran yalaani vikwazo vya EU dhidi ya Wizara ya Ulinzi ya Iran

    Dec 13, 2023 02:47

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea vikwazo Wizara ya Ulinzi ya nchi hii kwa madai bandia kuwa Jamhuri ya Kiislamu imeipa Russia ndege zisizo na rubani (droni) eti kwa ajili ya kutumika vitani huko Ukraine.

  • Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika

    Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika

    Oct 19, 2023 02:26

    Vikwazo kwa mradi wa makombora ya balestiki ya Iran vilivyokuwa vimewekwa na Umoja wa Ulaya vilifikia kikomo Jumatano ya jana Oktoba 18, chini ya Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo liliidhinisha mkataba wa nyuklia wa JCPOA wa mwaka 2015.

  • Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Iran: Tutajibu mapigo ya vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya

    Sep 17, 2023 04:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo kwa hatua ya kujikariri ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuendelea kulisakama taifa hili kwa vikwazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS