Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kuwait

  • Kupunguzwa wanadiplomasia wa Iran; mchezo wa Kuwait katika uwanja wa Saudia

    Kupunguzwa wanadiplomasia wa Iran; mchezo wa Kuwait katika uwanja wa Saudia

    Jul 21, 2017 08:34

    Baada ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait kuchukua uamuzi wa kupunguza idadi ya wanadiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu nchini humo, balozi mdogo wa nchi hiyo mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kufahamishwa kuwa serikali ya Iran pia ina haki ya kuchukua hatua kama hiyo dhidi ya Kuwait.

  • Jumatano, Julai 19, 2017

    Jumatano, Julai 19, 2017

    Jul 18, 2017 21:56

    Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Mosi Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 19, 2017 Milaadia.

  • Jumatatu tarehe 19 Juni, 2017

    Jumatatu tarehe 19 Juni, 2017

    Jun 19, 2017 11:42

    Leo ni Jumatatu tarehe 24 Ramadhani 1438 Hijria, sawa na tarehe 19 Juni, 2017.

  • Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Jun 05, 2017 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.

  • Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Mar 23, 2017 11:45

    Spika wa Bunge la Kuwait, Marzouq Al-Ghanim, amelaani siasa za kibaguzi za utawala haramu wa Israel na kusisitiza udharura wa kutengwa utawala huo katika Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge.

  • Jumamosi, Februari 25, 2017

    Jumamosi, Februari 25, 2017

    Feb 24, 2017 23:06

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nane Jamad al-Awwal 1438 Hijria sawa na tarehe 25 Februari 2017 Miladia.

  • Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Rais wa Iran na Amir wa Kuwait wasisitiza ulazima wa umoja wa nchi za eneo

    Feb 16, 2017 01:15

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Amir wa Kuwait wamesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa nchi jirani na za Kiislamu hasa kwa kuzingatia hali ya hivi sasa Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Rouhani: Iran inataka kuboresha uhusiano na eneo zima

    Feb 15, 2017 04:34

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi hii inataka kuboresha uhusiano katika eneo zima la Ghuba ya Uajemi na kwamba lengo la mwisho la Tehran ni kuona amani na uthabiti zaidi inakuwepo katika eneo hili na nchi zote zinastawi.

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Feb 13, 2017 00:50

    Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.

  • Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Kuwait yakanusha madai ya kupiga marufuku raia wa nchi za Kiislamu

    Feb 05, 2017 23:12

    Serikali ya Kuwait imekadhibisha habari ya tetesi iliyoenea katika baadhi ya vyombo vya habari kwamba nchi hiyo imepiga marufuku raia wa nchi kadhaa za Kiislamu kuingia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS