-
Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda
Aug 04, 2017 15:06Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.
-
Iran: Yaishitaki Marekani kwa hatua yake ya kuiwekea vikwazo vipya Tehran
Aug 01, 2017 14:14Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran sambamba na kubainisha kwamba, ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA uliofanywa na Marekani uko wazi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislam ya Iran imewasilisha mashitaka kwenda kwa baraza na kamisheni inayosimamia makubaliano hayo, kutokana na hatua ya Washington ya kuliwekea taifa hili vikwazo vipya.
-
Spika Larijani: Kuunga mkono mhimili wa muqawama ni jukumu la Kiislamu na kibinadamu
Jul 27, 2017 03:22Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haisiti hata kidogo kuunga mkono mhimili wa muqawama na kuwakandamiza magaidi na kwamba, inalitambua hilo kama jukumu la Kiislamu na kibinadamu.
-
Spika wa Bunge Iran: Jumuiya za kimataifa zikabiliane na uhalifu wa Israel
Jul 25, 2017 02:28Spika wa Bunge la Iran amelaani ukatili unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa na ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kukabiliana ipasavyo na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel.
-
Larijani: Wamarekani wanataka kuwafuta wapinzani wao kwa bwabwaja
Jun 30, 2017 03:46Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa, Wamarekani wanatumia bwabwaja kama njia ya kutaka kuwafuta wapinzani wao.
-
Dakta Larijani: Israel ni mama wa ugaidi duniani
Jun 24, 2017 03:40Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika kumbukumbu za karne za mwisho hakuna tukio baya kama la kuasisiwa utawala haramu wa Israel kwani kuanzishwa na kuundwa utawala huo kumepelekea kufanyika jinai ambazo hazijawahi kutokea katika historia.
-
Spika Larijani: Kugawanywa Iraq ndilo takwa la utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 21, 2017 13:57Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kudumishwa umoja wa Iraq na kubainisha kwamba, kugawanywa nchi hiyo ya Kiarabu ndilo takwa hasa la utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Larijani: Hatua zote za Saudia ni kwa maslahi na manufaa ya Israel
Jun 20, 2017 07:55Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameukosoa vikali utawala wa Aal-Saud kwa kushirikiana kufa kupona na utawala wa Kizayuni wa Israel na kubainisha kuwa, hatua zote za Riyadh katika eneo hili ni kwa maslahi na manufaa ya Tel Aviv.
-
Mohammadi-Golpayegani: Maadui hawawezi kulikatisha tamaa taifa la Iran kwa kufanya mauaji
Jun 09, 2017 15:25Mkuu wa ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya maadui ya kufanya mauaji katu haiwezi kulikatisha tamaa taifa la Iran.
-
Spika wa Bunge la Iran: Utambulisho wa Israel ni tishio kwa mataifa yote
May 30, 2017 04:30Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utambulishi wa uvamizi na ubaguzi wa utawala haramu wa Israel ni tishio kwa mataifa yote ya Mashariki ya Kati na jamii nzima ya mwanadamu.