-
Ijumaa tarehe 22 Novemba 2019
Nov 21, 2019 23:45Leo ni Ijumaa tarehe 24 Rabiul Awwal 1441 Hijria sawa na 22 Novemba mwaka 2019.
-
Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia
Nov 19, 2019 22:59Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon
Nov 15, 2019 23:15Vyombo vya habari vya Lebanon vimemnukuu Waziri wa Mambo ya Nje Gebran Bassil akisema kuwa waziri wa zamani wa Fedha Muhammad Safadi amekubali kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.
-
Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina
Nov 15, 2019 04:27Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.
-
Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon
Nov 08, 2019 23:44Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.
-
Kuanza uchunguzi kuhusu ufisadi wa kifedha Lebanon
Nov 08, 2019 07:25Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa wiki ijayo mafaili ya ufisadi wa kifedha yatafikishwa katika mahakama za nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.
-
Rais wa Lebanon; Uchunguzi kuhusu ufisadi nchini tayari umeanza
Nov 08, 2019 00:39Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa tayari yamewaslishwa mafailili 17 ya ufisadi kwa ajili ya kuchunguzwa.
-
Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds
Nov 03, 2019 04:45Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya shirika la mtandao wa kijamii wa Twitter la Marekani ya kufuta kurasa zenye mfungamano na harakati hiyo kwenye mtandao huo.
-
Nasrullah: Hizbullah inatekeleza jukumu lake, Marekani inazuia utatuzi Lebanon
Nov 02, 2019 00:49Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon jana Ijumaa alitoa hotuba muhimu katika kumbukumbu za kumuenzi Allama Sayyid Murdha al Amili, mmoja wa maulamaa na wanavyuoni wakubwa wa nchini Lebanon, na mbali na kugusia shakhsia ya mwanachuoni huyo, amezungumzia pia matukio ya ndani ya Lebanon na kujiuzulu waziri mkuu wa nchi hiyo.
-
Wabunge wa Hizbullah: Marekani ndiye msababishaji wa fujo na machafuko ndani ya Lebanon
Nov 01, 2019 03:49Wabunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon wamelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi yao.