Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Ijumaa tarehe 22 Novemba 2019

    Ijumaa tarehe 22 Novemba 2019

    Nov 21, 2019 23:45

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Rabiul Awwal 1441 Hijria sawa na 22 Novemba mwaka 2019.

  • Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Benki nchini Lebanon zafunguliwa chini ya ulinzi mkali baada ya ghasia

    Nov 19, 2019 22:59

    Kwa mara nyingine benki za Lebanon zimefunguliwa na kuanza shughuli zake chini ya ulinzi mkali wa maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon

    Gebran Bassil: Mohammad Safadi amekubali kuwa waziri mkuu wa Lebanon

    Nov 15, 2019 23:15

    Vyombo vya habari vya Lebanon vimemnukuu Waziri wa Mambo ya Nje Gebran Bassil akisema kuwa waziri wa zamani wa Fedha Muhammad Safadi amekubali kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina

    Nov 15, 2019 04:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.

  • Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon

    Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon

    Nov 08, 2019 23:44

    Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.

  • Kuanza uchunguzi kuhusu ufisadi wa kifedha Lebanon

    Kuanza uchunguzi kuhusu ufisadi wa kifedha Lebanon

    Nov 08, 2019 07:25

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa wiki ijayo mafaili ya ufisadi wa kifedha yatafikishwa katika mahakama za nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.

  • Rais wa Lebanon; Uchunguzi kuhusu ufisadi nchini tayari umeanza

    Rais wa Lebanon; Uchunguzi kuhusu ufisadi nchini tayari umeanza

    Nov 08, 2019 00:39

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa tayari yamewaslishwa mafailili 17 ya ufisadi kwa ajili ya kuchunguzwa.

  • Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds

    Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds

    Nov 03, 2019 04:45

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya shirika la mtandao wa kijamii wa Twitter la Marekani ya kufuta kurasa zenye mfungamano na harakati hiyo kwenye mtandao huo.

  • Nasrullah: Hizbullah inatekeleza jukumu lake, Marekani inazuia utatuzi Lebanon

    Nasrullah: Hizbullah inatekeleza jukumu lake, Marekani inazuia utatuzi Lebanon

    Nov 02, 2019 00:49

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon jana Ijumaa alitoa hotuba muhimu katika kumbukumbu za kumuenzi Allama Sayyid Murdha al Amili, mmoja wa maulamaa na wanavyuoni wakubwa wa nchini Lebanon, na mbali na kugusia shakhsia ya mwanachuoni huyo, amezungumzia pia matukio ya ndani ya Lebanon na kujiuzulu waziri mkuu wa nchi hiyo.

  • Wabunge wa Hizbullah: Marekani ndiye msababishaji wa fujo na machafuko ndani ya Lebanon

    Wabunge wa Hizbullah: Marekani ndiye msababishaji wa fujo na machafuko ndani ya Lebanon

    Nov 01, 2019 03:49

    Wabunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon wamelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS