-
Harakati ya Hizbullah ya Lebanon yasisitiza kutetewa Palestina
Nov 15, 2019 04:27Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza udharura wa kuungwa mkono na kutetewa taifa madhulumu la Palestina.
-
Afisa wa Hizbullah: Marekani inataka kuweka serikali kibaraka Lebanon
Nov 08, 2019 23:44Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani inataka kuweka serikali kibaraka huko Lebanon.
-
Kuanza uchunguzi kuhusu ufisadi wa kifedha Lebanon
Nov 08, 2019 07:25Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa wiki ijayo mafaili ya ufisadi wa kifedha yatafikishwa katika mahakama za nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.
-
Rais wa Lebanon; Uchunguzi kuhusu ufisadi nchini tayari umeanza
Nov 08, 2019 00:39Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema kuwa tayari yamewaslishwa mafailili 17 ya ufisadi kwa ajili ya kuchunguzwa.
-
Twitter yafunga kurasa za Hizbullah na shirika la habari la Quds
Nov 03, 2019 04:45Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imekosoa vikali hatua ya shirika la mtandao wa kijamii wa Twitter la Marekani ya kufuta kurasa zenye mfungamano na harakati hiyo kwenye mtandao huo.
-
Nasrullah: Hizbullah inatekeleza jukumu lake, Marekani inazuia utatuzi Lebanon
Nov 02, 2019 00:49Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon jana Ijumaa alitoa hotuba muhimu katika kumbukumbu za kumuenzi Allama Sayyid Murdha al Amili, mmoja wa maulamaa na wanavyuoni wakubwa wa nchini Lebanon, na mbali na kugusia shakhsia ya mwanachuoni huyo, amezungumzia pia matukio ya ndani ya Lebanon na kujiuzulu waziri mkuu wa nchi hiyo.
-
Wabunge wa Hizbullah: Marekani ndiye msababishaji wa fujo na machafuko ndani ya Lebanon
Nov 01, 2019 03:49Wabunge wa harakati ya Hizbullah katika bunge la Lebanon wamelaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon Saad al Hariri amejiuzulu
Oct 29, 2019 12:13Waziri Mkuu wa Lebanon Saad al Hariri ametangaza kujiuzulu huku nchi hiyo ikiwa imegubikwa na maandamano ya wananchi.
-
Jeshi la Lebanon latahadharisha kuhusu fitina na njama mpya za MOSSAD
Oct 29, 2019 08:20Jeshi la Lebanon limetoa taarifa likitangaza kuwa, ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook unaofanya kazi chini ya usimamizi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD kwa kutumia jina la "Jamal Fa" unatuma maombi na kutoa pesa kwa baadhi ya raia wa Lebanon.
-
Jihadul-Islami: Muqawama umesambaratisha njama za utawala wa Kizayuni
Oct 19, 2019 23:04Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islam ya Palestina amesema kuwa, muqawama umesambaratisha njama za utawala vamizi wa Kizayuni.