-
Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi
May 14, 2016 23:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.
-
Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake
May 13, 2016 03:17Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyouawa katika kile kilichotajwa kuwa hujuma ya jeshi la utawala haramu wa Israel.
-
Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina
May 06, 2016 08:38Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Jumatatu, Aprili 4, 2016
Apr 04, 2016 00:19Leo ni Jumatatu tarehe 25 Mfunguo Tisa Jumadi Thani 1437 Hijria sawa na Aprili 4, 2016 Milaadia.
-
Saudia inawahudumia bure Wazayuni
Mar 28, 2016 23:53Sheikh Suhail Habli, mwanazoni wa Kisuni wa nchini Lebanon amezikosoa siasa za watawala wa Aal Saud na kusema kuwa, Saudi Arabia ni mfanyakazi wa bure wa Wazayuni.
-
Mwanazuoni wa Kisuni Lebanon: Saudia inawahudumia bure Wazayuni
Mar 28, 2016 09:22Sheikh Suhail Habli, mwanazoni wa Kisuni wa nchini Lebanon amezikosoa siasa za watawala wa Aal Saud na kusema kuwa, Saudi Arabia ni mfanyakazi wa bure wa Wazayuni.
-
Rais mteule wa Benin kuongoza kwa muhula mmoja tu wa miaka mitano
Mar 27, 2016 00:08Rais mteule wa Benin Patrice Talon amesema kuwa, anataka kupunguza muda wa rais anaoweza kuongoza nchini humo, kuwa muhula mmoja tu wa miaka mitano.
-
Safari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon
Mar 25, 2016 21:10Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesisitizia ulazima wa kuongezwa misaada ya kimataifa kwa jeshi la Lebanon.
-
Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon
Mar 19, 2016 04:07Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.
-
Kharazi: Kudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya Israel
Mar 17, 2016 09:58Mkuu wa Baraza la Kiistratejia la Uhusiano wa Kigeni la Iran amesema kuwa kuudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni.