Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    May 14, 2016 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.

  • Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake

    Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake

    May 13, 2016 03:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyouawa katika kile kilichotajwa kuwa hujuma ya jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 08:38

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Jumatatu, Aprili 4, 2016

    Jumatatu, Aprili 4, 2016

    Apr 04, 2016 00:19

    Leo ni Jumatatu tarehe 25 Mfunguo Tisa Jumadi Thani 1437 Hijria sawa na Aprili 4, 2016 Milaadia.

  • Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Mar 28, 2016 23:53

    Sheikh Suhail Habli, mwanazoni wa Kisuni wa nchini Lebanon amezikosoa siasa za watawala wa Aal Saud na kusema kuwa, Saudi Arabia ni mfanyakazi wa bure wa Wazayuni.

  • Mwanazuoni wa Kisuni Lebanon: Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Mwanazuoni wa Kisuni Lebanon: Saudia inawahudumia bure Wazayuni

    Mar 28, 2016 09:22

    Sheikh Suhail Habli, mwanazoni wa Kisuni wa nchini Lebanon amezikosoa siasa za watawala wa Aal Saud na kusema kuwa, Saudi Arabia ni mfanyakazi wa bure wa Wazayuni.

  • Rais mteule wa Benin kuongoza kwa muhula mmoja tu wa miaka mitano

    Rais mteule wa Benin kuongoza kwa muhula mmoja tu wa miaka mitano

    Mar 27, 2016 00:08

    Rais mteule wa Benin Patrice Talon amesema kuwa, anataka kupunguza muda wa rais anaoweza kuongoza nchini humo, kuwa muhula mmoja tu wa miaka mitano.

  • Safari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon

    Safari ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon

    Mar 25, 2016 21:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesisitizia ulazima wa kuongezwa misaada ya kimataifa kwa jeshi la Lebanon.

  • Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Mar 19, 2016 04:07

    Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.

  • Kharazi: Kudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya Israel

    Kharazi: Kudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya Israel

    Mar 17, 2016 09:58

    Mkuu wa Baraza la Kiistratejia la Uhusiano wa Kigeni la Iran amesema kuwa kuudhoofisha muqawama wa Lebanon ni kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS