Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Viongozi wa Libya waafikiana kuunda serikali ya umoja

    Viongozi wa Libya waafikiana kuunda serikali ya umoja

    Mar 11, 2024 11:23

    Viongozi watatu muhimu wa Libya wamesisitiza juu ya udharura wa kuunda serikali mpya ya umoja ambao utapewa jukumu la kusimamia uchaguzi ambao umeakhirishwa kwa muda mrefu sasa.

  • Serikali ya Libya: Wanamgambo kuondoka Tripoli baada ya kufikiwa makubaliano

    Serikali ya Libya: Wanamgambo kuondoka Tripoli baada ya kufikiwa makubaliano

    Feb 23, 2024 03:30

    Makundi ya wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na ambayo yamekuwa yakidhibiti Tripoli yamekubali kuondoka katika mji mkuu huo wa Libya.

  • Jumapili, 24 Disemba, 2023

    Jumapili, 24 Disemba, 2023

    Dec 24, 2023 02:33

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfunguo Tisa Jamadithani 1445 Hijria mwafaka na tarehe 24 Disemba 2023 Miladia.

  • Libya yawafukuza mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni

    Libya yawafukuza mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 26, 2023 06:13

    Ikiwa ni katika hatua yake ya kupinga kuendelea jinai na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, Libya imewatimua mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni nchini humo.

  • Libya yaagiza kukamatwa  maafisa 8 katika uchunguzi wa kuporomoka kwa bwawa

    Libya yaagiza kukamatwa maafisa 8 katika uchunguzi wa kuporomoka kwa bwawa

    Sep 26, 2023 07:42

    Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya imesema, Mwendesha Mashtaka Mkuu huyo ameamuru kukamatwa maafisa wanane kama sehemu ya uchunguzi wake kuhusu maafa ya hivi majuzi ya mafuriko ambayo yalisababisha vifo vya maelfu ya watu.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 07:17

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

  • Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya

    Sep 17, 2023 04:39

    Mkuu wa Shirika la Hlilali Nyekundu la Iran (IRCS) amesema jumuiya hiyo imetuma tani 40 za misaada ya dharura nchini Libya, kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    UN: Baadhi ya watu nchini Libya wamepoteza wanafamilia 50 au zaidi

    Sep 16, 2023 10:59

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu na masuala ya dharura OCHA, Martin Griffiths amesema, umoja huo unaendelea kuhamasisha juhudi za utoaji misaada kwa nchi za Libya na Morocco kufuatia majanga mawili makubwa tofauti yaliyozikumba nchi hizo sambamba na machungu na maumivu makubwa yaliyozipata familia zilizofiwa na kupoteza wapendwa wao katika majanga hayo.

  • Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Sep 15, 2023 03:20

    Meya wa mji wa Derna, mashariki mwa Libya amesema huenda idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na athari za kimbunga kikali kilichoikumba nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ikapindukia watu 20,000.

  • Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Sep 14, 2023 02:55

    Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS