-
Libya yajiunga kwenye kesi ya nchi kadhaa dhidi ya utawala wa Kizayuni
Jun 01, 2024 07:49Mwakilishi wa Libya katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) amesema kuwa; mahakama hiyo Umoja wa Mataifa (UN) imekubali ombi la Tripoli la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Maiti 65 za wahajiri zagunduliwa katika kaburi la umati Libya
Mar 23, 2024 07:50Maafisa wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) wameripoti kuwa wamegundua miili ya watu 65 iliyokuwa imezikwa kwenye kaburi la umati nchini Libya.
-
Makubaliano ya viongozi wa Libya ya kuunda serikali moja mpya
Mar 13, 2024 07:38Kuendelea mgogoro nchini Libya na kuwa vigumu suala la kufanyika uchaguzi nchini humo hatimaye kumepelekea viongozi wa Libya kukubaliana kuunda serikali moja ambayo itakuwa na jukumu la kusimamia uchaguzi nchini humo.
-
Viongozi wa Libya waafikiana kuunda serikali ya umoja
Mar 11, 2024 11:23Viongozi watatu muhimu wa Libya wamesisitiza juu ya udharura wa kuunda serikali mpya ya umoja ambao utapewa jukumu la kusimamia uchaguzi ambao umeakhirishwa kwa muda mrefu sasa.
-
Serikali ya Libya: Wanamgambo kuondoka Tripoli baada ya kufikiwa makubaliano
Feb 23, 2024 03:30Makundi ya wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na ambayo yamekuwa yakidhibiti Tripoli yamekubali kuondoka katika mji mkuu huo wa Libya.
-
Jumapili, 24 Disemba, 2023
Dec 24, 2023 02:33Leo ni Jumapili tarehe 10 Mfunguo Tisa Jamadithani 1445 Hijria mwafaka na tarehe 24 Disemba 2023 Miladia.
-
Libya yawafukuza mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni
Oct 26, 2023 06:13Ikiwa ni katika hatua yake ya kupinga kuendelea jinai na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, Libya imewatimua mabalozi wa nchi kadhaa zinazounga mkono utawala wa Kizayuni nchini humo.
-
Libya yaagiza kukamatwa maafisa 8 katika uchunguzi wa kuporomoka kwa bwawa
Sep 26, 2023 07:42Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya imesema, Mwendesha Mashtaka Mkuu huyo ameamuru kukamatwa maafisa wanane kama sehemu ya uchunguzi wake kuhusu maafa ya hivi majuzi ya mafuriko ambayo yalisababisha vifo vya maelfu ya watu.
-
UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya
Sep 20, 2023 07:17Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.
-
Hilali Nyekundu ya Iran yatuma misaada ya kibinadamu Libya
Sep 17, 2023 04:39Mkuu wa Shirika la Hlilali Nyekundu la Iran (IRCS) amesema jumuiya hiyo imetuma tani 40 za misaada ya dharura nchini Libya, kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.