-
Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko
Sep 12, 2023 14:14Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu na wananchi wa Libya kutokana na vifo vya maelfu ya watu nchini huko vilivyosababishwa na Kimbunga Daniel kilichoikumba nchi hiyo na kuzusha mafuriko makubwa.
-
Kimbunga kikali cha Mediterrania, mafuriko yaua maelfu ya watu Libya
Sep 12, 2023 02:46Mamia ya watu wamepoteza maisha baada ya kimbunga kikali cha Mediterrania kupiga mashariki mwa Libya na kusababisha mvua kubwa na mafuriko.
-
Kupinga Waziri Mkuu wa Libya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 02, 2023 10:45Baada ya maandamano makubwa ya wananchi wa Libya ya kulaaniwa kukutana na kufanya mazungumzo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo na mwenzake wa utawala wa Kizayuni, kwa mara nyingine tena Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya, Abdel-Hamid al-Dbeibeh, alisisitiza siku ya Alkhamisi juu ya uungaji mkono wa nchi hiyo kwa kwa malengo matukufu ya Palestina na mapambano ya Palestina dhidi ya ya utawala haramu wa Israel.
-
Walibya: Serikali ya Dbeibah itimuliwe kwa kuvuka mistari myekundu
Aug 29, 2023 11:49Viongozi na wanasiasa mashuhuri wa Libya wametoa mwito wa kuondolewa mamlakani serikali nzima ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abdul Hamid Dbeibah, baada ya kufichuka habari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuonana kwa siri na waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni, Eli Cohen nchini Italia.
-
Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya
Aug 29, 2023 02:45Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa shukrani rasmi kwa wananchi wa LIbya kwa hatua yao ya kuonesha msimamo imara wa kulaani hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Libya ya kuonana na waziri wa mambo ya nje wa Israel.
-
Waziri wa Libya akimbia nchi baada ya kusimamishwa kazi, hasira zinaendelea
Aug 28, 2023 12:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya, Najla al Mangoush amekimbilia Uturuki baada ya Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya kumsimamisha kazi kwa kosa la kuonana na waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni nchini Italia.
-
Italia yazilaumu nchi za Magharibi kwa kuivamia kijeshi Libya wakati wa Gaddafi
Aug 18, 2023 04:36Waziri wa Mambo ya Nje ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu wa Italia amezilaumu nchi za Magharibi kwa kuivamia kijeshi Libya wakati wa harakati za wananchi za kuipindua serikali ya kiongozi wa muda mrefu Muammar Gaddafi lakini ameshindwa kulaumu uharibifu mkubwa uliofanywa na madola hayo ya Magharibi katika uvamizi wao huo.
-
Waliouawa katika mapigano ya pande hasimu za jeshi Libya wafika 55
Aug 17, 2023 03:16Idadi ya waliouawa katika mapigano baina ya pande mbili hasimu za kijeshi katika mji mkuu Libya, Tripoli imeongezeka na kufikia watu 55.
-
Mapigano ya utumiaji silaha yaanza tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli
Aug 16, 2023 02:49Msemaji wa masuala ya dharura na utoaji misaada nchini Libya ametangaza kuwa mapigano ya utumiaji silaha yameanza tena katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Libya, familia za wahanga waliozikwa kwenye makaburi ya umati zataka wahusika wanyongwe
Aug 14, 2023 12:21Familia za watu waliouawa na kuzikwa kwenye makaburi ya halaiki zimepinga adhabu ya vifungo vya jela kwa wale waliohusika na mauaji ya mamia ya raia na kuzikwa kwenye makaburi hayi katika mji wa Tarhuna, kusini mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli, na badala yake zinataka wapewe adhabu ya kifo