Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wapiganaji wa Haftar wakiuka mapatano ya usitishahaji vita Libya

    Wapiganaji wa Haftar wakiuka mapatano ya usitishahaji vita Libya

    Jan 12, 2020 11:57

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya (GNU) imewatuhumu wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar kuwa wamekiuka mapatano mapya ya usitishwaji vita.

  • Usitishaji vita watekelezwa Libya huku vikosi vya Haftar vikiituhumu GNA kuwa imeukiuka

    Usitishaji vita watekelezwa Libya huku vikosi vya Haftar vikiituhumu GNA kuwa imeukiuka

    Jan 12, 2020 07:06

    Vikosi vitiifu kwa Khalifa Haftar, kiongozi wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) vimeituhumu Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya nchi hiyo GNA kuwa imeyakiuka makubaliano hayo.

  • Askari 20 wa Khalifa Haftar wauawa katika mapigano ya Tripoli

    Askari 20 wa Khalifa Haftar wauawa katika mapigano ya Tripoli

    Jan 12, 2020 02:38

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imetangaza kuwa askari wasiopungua 20 wa linalojiita jeshi la taifa la Libya chini ya uongozi wa Jenerali Khalifa Haftar wameuawa katika mapigano ya kutaka kudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Vikosi vya Haftar vyaukataa wito wa Russia na Uturuki wa kusitisha vita nchini Libya

    Vikosi vya Haftar vyaukataa wito wa Russia na Uturuki wa kusitisha vita nchini Libya

    Jan 10, 2020 07:50

    Vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar limeukataa wito uliotolewa na Russia na Uturuki wa kuhitimisha mapigano nchini Libya.

  • Wanamgambo watiifu kwa jenerali muasi Libya wauteka mji wa pwani wa Sirte

    Wanamgambo watiifu kwa jenerali muasi Libya wauteka mji wa pwani wa Sirte

    Jan 07, 2020 12:50

    Wanamgambo watiifu kwa Jenerali Muasi Khalifa Haftar wameuteka mji wa pwani wa nchi hiyo wa Sirte, huku Uturuki ikiwa tayari imeanza kutuma wanajeshi wake kuisaidia serikali ya Libya yenye makao yake huko Tripoli inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa.

  • Uturuki yaanza kutuma vikosi vya jeshi lake nchini Libya

    Uturuki yaanza kutuma vikosi vya jeshi lake nchini Libya

    Jan 06, 2020 08:00

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimeanza kuelekea nchini Libya, kushirikiana na Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya (GNA) inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj.

  • 28 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi Libya

    28 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi Libya

    Jan 05, 2020 07:41

    Kwa akali watu 28 wameuawa katika shambulizi la anga lililolenga chuo cha kijeshi katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Bunge la Uturuki laidhinisha kutumwa askari wa nchi hiyo Libya

    Bunge la Uturuki laidhinisha kutumwa askari wa nchi hiyo Libya

    Jan 03, 2020 02:53

    Bunge la Uturuki limepasisha muswada wa sheria inayoruhusu kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo huko Libya.

  • Uturuki: Hatutapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya Tripoli

    Uturuki: Hatutapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya Tripoli

    Jan 02, 2020 03:53

    Makamu wa Rais wa Uturuki Fuat Oktay amesema, nchi yake haitapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Jan 01, 2020 08:00

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeziasa pande hasimu za kisiasa nchini Libya kujiepusha na hatua yoyote ambayo itachochea kutumwa vikosi vya nchi za kigeni katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS