Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    Serikali ya Libya kuanzisha operesheni mpya kwa kutumia silaha za Uturuki

    May 20, 2019 01:21

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj imetangaza habari ya kupokea zana mpya za kivita, vifaru na magari ya deraya kwa ajili ya kuyatumia katika operesheni zake dhidi ya wapiganaji wa jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Kuendelea mapigano nchini Libya; tishio kwa usalama wa kimataifa

    Kuendelea mapigano nchini Libya; tishio kwa usalama wa kimataifa

    May 14, 2019 11:52

    Sambamba na kuendelea mapigano nchini Libya na kupanuka wigo wake, Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa iliyoyataja mashambulio ya jeshi la taifa la Libya dhidi ya mji mkuu Tripoli na viunga vyake kwamba ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa.

  • Gadi ya Pwani Libya yawaokoa Wahamiaji haramu 150

    Gadi ya Pwani Libya yawaokoa Wahamiaji haramu 150

    May 13, 2019 03:28

    Gadi ya Pwani ya Libya imetangaza kuwaokoa takribani wahamiaji haramu wapatao 150 waliokuwa kwenye boti katika Bahari ya Mediterania wakielekea Ulaya.

  • Libya: Trump asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa Jenerali  muasi Haftar

    Libya: Trump asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa Jenerali muasi Haftar

    May 11, 2019 12:57

    Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya (GNA), ambayo inatambuliwa kimataifa, imemtaka rais Donald Trump wa Marekani asitishe uungaji mkono wa kigeni kwa jenerali muasi Khalifa Haftar ambaye askari wake wanaendeleza hujuma dhidi ya mji mkuu Tripoli.

  • Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano Libya

    Baraza la Usalama la UN lataka kusitishwa mapigano Libya

    May 11, 2019 08:06

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kusitishwa mapigano nchini Libya, huku likiziasa pande husika kurejea katika meza ya mazungumzo.

  • Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    Makumi ya wahajiri wa Kiafrika waghariki katika pwani ya Tunisia

    May 11, 2019 03:00

    Makumi ya wahajiri wamepoteza maisha katika ajali ya kuzama boti katika pwani ya Tunisia, wakitokea pwani ya Libya.

  • Tripoli yatishia kuyafutia leseni mashirika ya kigeni nchini Libya

    Tripoli yatishia kuyafutia leseni mashirika ya kigeni nchini Libya

    May 11, 2019 02:18

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya (GNA) yenye makao yake Tripoli na ambayo inaungwa mkono na jamii ya kimataifa imetishia kuyapokonya leseni mashirika 40 ajinabi likiwemo shirika la mafuta la Ufaransa Total yanayohudumu nchini humo.

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    Watu 3 wauawa katika shambulio la Daesh (ISIS) kusini mwa Libya

    May 09, 2019 12:17

    Kwa mara nyingine tena kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) limetumia mwanya uliosababishwa na mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya, kutekeleza shambulio kusini mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Fayez al Sarraj azungumza na Kansela wa Ujerumani kuhusu mgogoro wa Libya

    Fayez al Sarraj azungumza na Kansela wa Ujerumani kuhusu mgogoro wa Libya

    May 09, 2019 04:15

    Rais wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amezungumza na Kansela wa Ujerumaini kuhusiana na hasara zinazosababishwa na mashambulizi ya Jenerali Khalifa Haftar katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    May 07, 2019 07:56

    Jopo la Wataalamu wa Umoja wa Mataifa linatathmini mashambulizi ya makombora dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli, sanjari na kuchunguza uwezekano wa kutumika ndege zisizo na rubani 'drone' za Umoja wa Falme za Kiarabu katika hujuma hizo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS