-
Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018
Aug 21, 2018 02:44Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa mambo ya kibinadamu nchini Libya Bi. Maria Ribiero, amesema raia130 wameuawa kwenye mapambano nchini Libya tangu mwaka 2018.
-
Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya
Aug 16, 2018 07:36Mahakama moja nchini Libya imewahukumu adhabu ya kifo makumi ya watu baada ya kuwapata na hatia ya kuua waandamanaji waliokuwa wanapinga utawala wa Muammar Gaddafi mwaka 2011.
-
UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya
Aug 15, 2018 13:45Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi 1,900 huko Libya.
-
NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya
Aug 14, 2018 02:51Kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya Khalifa Haftar amesema kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) ndiyo sababu ya hali mbaya inayoshuhudiwa sasa nchini humo.
-
Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo
Aug 10, 2018 03:59Bunge la Libya limemtuhumu balozi wa Italia mjini Tripoli kuwa anaingila masuala ya ndani ya nchi hiyo na kutaka afukuzwe mara moja.
-
Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake
Aug 09, 2018 04:24Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.
-
Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya
Aug 08, 2018 06:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya machafuko inayoendelea kushuhudiwa nchini Libya na kusema kuwa nchi hiyo imekuwa medani ya vita vya niaba vya pande za kigeni.
-
Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu
Aug 05, 2018 15:18Miji mingi ya Libya imekumbwa na maandamano ya wananchi wanaolalamikia maisha magumu.
-
Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yamfuta kazi waziri wake wa Ulinzi
Jul 30, 2018 14:19Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amemfuta kazi Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo kwa kile kilichotajwa kuwa kuhusika katika shambulio dhidi ya kituo cha anga magharibi mwa nchi hiyo.
-
Benki ya dunia yatahadharisha kuhusu taathira za magendo ya mafuta huko Libya
Jul 28, 2018 08:12Benki ya Dunia imetangaza kuwa uchumi wa Libya umepata hasara kubwa kutokana na kuibiwa mafuta ya nchi hiyo kuelekea nchi jirani hususan huko Tunisia.