Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018

    Raia 130 wauawa kwenye mapigano nchini Libya tangu mwaka 2018

    Aug 21, 2018 02:44

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa mambo ya kibinadamu nchini Libya Bi. Maria Ribiero, amesema raia130 wameuawa kwenye mapambano nchini Libya tangu mwaka 2018.

  • Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya

    Makumi ya watu wahukumiwa kifo kwa kuua wapinzani wa Gaddafi nchini Libya

    Aug 16, 2018 07:36

    Mahakama moja nchini Libya imewahukumu adhabu ya kifo makumi ya watu baada ya kuwapata na hatia ya kuua waandamanaji waliokuwa wanapinga utawala wa Muammar Gaddafi mwaka 2011.

  • UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya

    UN yatahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi huko Libya

    Aug 15, 2018 13:45

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetahadharisha kuhusu kufukuzwa wakimbizi 1,900 huko Libya.

  • NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya

    NATO, sababu kuu ya mgogoro wa ndani nchini Libya

    Aug 14, 2018 02:51

    Kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya Khalifa Haftar amesema kuwa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) ndiyo sababu ya hali mbaya inayoshuhudiwa sasa nchini humo.

  • Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Bunge la Libya lataka balozi wa Italia afukuzwe nchini humo

    Aug 10, 2018 03:59

    Bunge la Libya limemtuhumu balozi wa Italia mjini Tripoli kuwa anaingila masuala ya ndani ya nchi hiyo na kutaka afukuzwe mara moja.

  • Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Libya yaiomba Russia iisaidie kutatua migogoro yake

    Aug 09, 2018 04:24

    Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ameiomba serikali ya Russia iingilie mgogoro wa Libya kwa ajili ya kuutatua.

  • Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya

    Tunisia yakosoa uingiliaji kati wa nchi ajinabi huko Libya

    Aug 08, 2018 06:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia ameeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya machafuko inayoendelea kushuhudiwa nchini Libya na kusema kuwa nchi hiyo imekuwa medani ya vita vya niaba vya pande za kigeni.

  • Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu

    Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu

    Aug 05, 2018 15:18

    Miji mingi ya Libya imekumbwa na maandamano ya wananchi wanaolalamikia maisha magumu.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yamfuta kazi waziri wake wa Ulinzi

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yamfuta kazi waziri wake wa Ulinzi

    Jul 30, 2018 14:19

    Rais wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amemfuta kazi Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo kwa kile kilichotajwa kuwa kuhusika katika shambulio dhidi ya kituo cha anga magharibi mwa nchi hiyo.

  • Benki ya dunia yatahadharisha kuhusu taathira za magendo ya mafuta huko Libya

    Benki ya dunia yatahadharisha kuhusu taathira za magendo ya mafuta huko Libya

    Jul 28, 2018 08:12

    Benki ya Dunia imetangaza kuwa uchumi wa Libya umepata hasara kubwa kutokana na kuibiwa mafuta ya nchi hiyo kuelekea nchi jirani hususan huko Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS