Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

London

  • Watu tisa wauawa katika shambulio la kigaidi la London

    Watu tisa wauawa katika shambulio la kigaidi la London

    Jun 04, 2017 04:07

    Watu wasiopungua saba wameuawa na wengine kadhaa kujruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Uingereza London.

  • Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    Rais wa Somalia aomba msaada wa kimataifa

    May 12, 2017 03:42

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa Somalia ameiuomba jamii ya kimataifa iisaidie nchi yake katika kupambana na ugaidi, ufisadi na umaskini wa kuchupa mipaka; mambo ambayo amesema ndiye adui mkuu wa nchi hiyo.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 13:22

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Kamanda wa jeshi la Saudia apigwa mayai Uingereza

    Kamanda wa jeshi la Saudia apigwa mayai Uingereza

    Mar 31, 2017 07:25

    Ahmed al-Asiri, mshauri wa Wizara ya Ulinzi ya Saudia na msemaji wa muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen, ameshambuliwa na waandamanaji wanaopinga hujuma za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen na kupigwa mayai mabovu.

  • Mhusika wa shambulio la London atajwa; majeruhi mwengine afariki dunia

    Mhusika wa shambulio la London atajwa; majeruhi mwengine afariki dunia

    Mar 24, 2017 04:32

    Polisi ya Uingereza imetangaza kuwa mtu aliyehusika na shambulio la Jumatano kwenye kitovu cha mji mkuu wa nchi hiyo, London ni Khalid Masood mwenye umri wa miaka 52 ambaye ni mzaliwa wa Uingereza.

  • Daesh yatangaza kuhusika na shambulizi la kigaidi Uingereza, Iran yalaani hujuma hiyo

    Daesh yatangaza kuhusika na shambulizi la kigaidi Uingereza, Iran yalaani hujuma hiyo

    Mar 23, 2017 16:01

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) limetangaza kuhusika katika hujuma ya kigaidi nchini Uingereza ambayo limepelekea kwa akali watu watano kuuawa na wengine 40 kujeruhiwa.

  • Watano wauawa London katika hujuma ya kigaidi, makumi wajeruhiwa

    Watano wauawa London katika hujuma ya kigaidi, makumi wajeruhiwa

    Mar 23, 2017 03:07

    Watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya mtu mmoja kushambulia watu waliokuwa wakitembea kwa miguu kwa kuwagonga kwa gari nje kidogo ya jengo la Bunge la Uingireza mjini London.

  • Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu

    Maelfu waandamana London, Uingereza kulaani chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 19, 2017 07:46

    Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Uingereza, London kushiriki maandamano ya kulaani chuki na uenezaji hofu dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • Mkutano wa London wa kujadili sababu za kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Ulaya

    Mkutano wa London wa kujadili sababu za kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Ulaya

    Dec 12, 2016 11:24

    Mji mkuu wa Uingereza, London siku ya Jumamosi ulikuwa mwenyeji wa mkutano uliofanyika chini ya anuani ya "Mazingira ya Chuki na Utawala wa Kipolisi", mkutano ambao ulihudhuriwa na shakhsia mbalimbali wa kiakademia, vyuo vikuu na wa vyombo vya habari wa Uingereza, nchi zingine za Ulaya pamoja na Marekani.

  • Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat

    Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat

    Nov 24, 2016 05:25

    Mamia waandamana London dhidi ya gazeti la Saudia la Sharq Ausat Mamia ya watu walifanya maandamano jana mjini London huko Uingereza mbele ya jengo la ofisi za gazeti linalofadhiliwa na Saudi Arabia la al Sharq al Ausat kutokana na kuwavunjia heshima wananchi wa Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS