Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Oct 25, 2019 09:35

    Wafuasi wa chama tawala nchini Zimbabwe wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare wakilaani vikwazo vya nchi za Maghaibi ambavyo Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo anasema vimedumaza uchumi wa Zimbabwe.

  • Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Oct 24, 2019 23:02

    Matukio yanayojiri nchini Iraq yanaelekea kwenye njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika, kufuatia safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini humo na msimamo wa wapinzani wa serikali wa kufanya maandamano Ijumaa ya leo ya tarehe 25 Oktoba.

  • Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Maelfu waandamana Sudan wakitaka kuvunjwa chama cha al-Bashir

    Oct 22, 2019 04:36

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamejitokeza mabarabarani katika maandamano ya kushinikiza kuvunjiliwa mbali kilichokuwa chama tawala nchini humo.

  • Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun

    Maandamano ya watu wa Lebanon, makataa ya Hariri na ahadi za Jenerali Aoun

    Oct 19, 2019 23:03

    Miji mbali mbali ya Lebanon, ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Beirut, kwa siku kadhaa sasa imeshuhudia maandamano ya wananchi wanaolalamikia sera za kiuchumi za serikali ya Waziri Mkuu Saad Hariri.

  • Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon

    Maandamano ya kupinga serikali yaendelea nchini Lebanon

    Oct 18, 2019 11:49

    Maandamano ya kupinga serikali ya wananchi wa Lebanon yameendelea leo kwa waandamanaji kukusanyika karibu na ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge la nchi hiyo katika mji mkuu Beirut.

  • 5 wauawa katika maandamano ya wapinzani wa Rais Conde wa Guinea

    5 wauawa katika maandamano ya wapinzani wa Rais Conde wa Guinea

    Oct 15, 2019 23:24

    Watu watano wameripotiwa kuuawa katika ghasia za maandamano ya wapinzani wanaopinga uwezekano wa Rais Alpha Conde wa Guinea kugombea muhula wa tatu wa urais kinyume na katiba.

  • Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia

    Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia

    Oct 03, 2019 04:25

    Waziri Mkuu wa Iraq, Adil Abdul Mahdi ametangaza marukufu ya kutembea watu na magari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad kuanzia alfajiri ya leo Alkhamisi hadi hapo baadaye.

  • Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Sep 30, 2019 04:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.

  • Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA

    Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA

    Sep 24, 2019 04:25

    Maandamano makubwa dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani yameshuhudiwa mjini New York usiku wa kuamkia leo, masaa machache kabla ya kuanza mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini humo.

  • Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Sep 21, 2019 02:44

    Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS