Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia

    Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia

    May 26, 2017 09:43

    Mahakama moja nchini Saudi Arabia imewahukumu adhabu ya kifo wanaharakati 14 kwa kushiriki maandamano katika eneo la Qatif.

  • Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu

    Polisi Nigeria yatumia mabavu kuzima maandamano ya Waislamu

    May 23, 2017 02:39

    Kwa mara nyingine tena polisi nchini Nigeria imetumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kutawanya maandamano ya wananchama wa Harakati ya Kiislamu nchini humo wanaoshinikiza kuachiwa huru kiongozi wao, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini

    Maandamano dhidi ya serikali nchini Afrika Kusini

    May 16, 2017 22:03

    Kwa mara nyingine tena mvutano wa kisiasa umeigubika nchi ya Afrika Kusini kiasi kwamba, maelfu ya wapinzani wa serikali wameendelea kufanya maandamano katika siku za hivi karibuni wakitaka Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo ajiuzulu.

  • Wananchi waandamana Tunisia kupinga msahama kwa mafisadi

    Wananchi waandamana Tunisia kupinga msahama kwa mafisadi

    May 14, 2017 03:02

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis kupinga muswada ambao ukipasishwa na kuwa sheria, maafisa wa serikali wanaopatikana na hatia ya ufisadi watafutiwa makosa mkabala wa kurejesha mali walizopora kwa dola.

  • Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    May 14, 2017 02:44

    Wapalestina kote duniani wanaadhimisha Siku ya Nakba hii leo, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 69 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.

  • Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel

    May 07, 2017 08:52

    Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wabahrain waandamana nchi nzima huku kesi ya Sheikh Qassim ikiskizwa leo

    Wabahrain waandamana nchi nzima huku kesi ya Sheikh Qassim ikiskizwa leo

    May 07, 2017 03:04

    Wananchi wa Bahrain wamejitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya nchi nzima leo Jumapili, siku ya kusikilizwa kesi ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuongezeka malalamiko ya wananchi na wasiwasi wa watawala wa Saudi Arabia

    Kuongezeka malalamiko ya wananchi na wasiwasi wa watawala wa Saudi Arabia

    Apr 28, 2017 09:58

    Katika kipindi cha chini ya siku 10, vijana wa Saudi Arabia wametumia mitandao ya kijamii kutoa mwito mwingine wa maandamano ya kulalamikia hali mbaya ya kimaisha nchini mwao.

  • Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Maandamano makubwa ya kumtaka Rais Zuma ajiuzulu yafanyika Pretoria

    Apr 27, 2017 23:11

    Wananchi wa Afrika Kusini wameendelea kufanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi wakitaka kujiuzulu Rais wa nchi Jacob Zuma.

  • Maandamano makubwa dhidi ya Trump, Wamarekani 39 wauawa na kujeruhiwa

    Maandamano makubwa dhidi ya Trump, Wamarekani 39 wauawa na kujeruhiwa

    Apr 23, 2017 03:17

    Zaidi ya Wamarekani 40 elfu wakiwemo wasomi na wataalamu mashuhuri wa nchi hiyo wameshiriki kwenye maandamano mjini Washington ya kumpinga Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kulalamikia sera zake za mazingira.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS