Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Wananchi wa Uturuki wafanya maandamano Istanbul kuunga mkono Gaza

    Aug 26, 2024 11:26

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano ya kulalamikia siasa za kijeshi na mauaji yanayofanywa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wanawake na watoto wadogo katika eneo la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu.

  • Waungaji mkono wa usitishaji vita wamkalia kooni Netanyahu kwa kuandamana dhidi yake Tel Aviv na Haifa

    Waungaji mkono wa usitishaji vita wamkalia kooni Netanyahu kwa kuandamana dhidi yake Tel Aviv na Haifa

    Aug 19, 2024 08:04

    Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji ya Tel Aviv na Haifa dhidi ya baraza la mawaziri la Netanyahu na kutaka yafikiwe makubaliano ya kusitisha vita na harakati ya HAMAS.

  • Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yafanyika katika nchi 6 za Ulaya

    Maandamano ya kuiunga mkono Palestina yafanyika katika nchi 6 za Ulaya

    Aug 04, 2024 03:00

    Maandamano makubwa ya kuiunga mkono na kutangaza mshikamano na Palestina yameshuhudiwa katika miji mbalimbali ya nchi barani Ulaya.

  • Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Muendelezo wa maandamano dhidi ya Wazayuni katika maeneo mbalimbali ulimwenguni

    Jul 04, 2024 07:10

    Maandamano bado yanaendelea katika nchi tofauti za dunia kupinga mauaji ya halaiki yanayofanywa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano ya vijana Kenya yaendelea, waandamanaji wamtaka Rais Ruto aondoke madarakani

    Maandamano ya vijana Kenya yaendelea, waandamanaji wamtaka Rais Ruto aondoke madarakani

    Jul 02, 2024 14:53

    Vijana wa Kenya, wengi wao wakiwa Generation Z, wamerejea barabarani katika maandamano yaliyopewa jina la #OccupyEverywhere dhidi ya utawala wa Rais William Ruto.

  • Bendera za Israel, US zachomwa moto Brazil katika maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Bendera za Israel, US zachomwa moto Brazil katika maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Jul 02, 2024 06:12

    Wananchi wenye hasira wa Brazil wamechoma moto bendera za Israel, Marekani na Umoja wa Ulaya wakati wa maandamano ya kuunga mkono Palestina na kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano ya vijana yamlazimisha Ruto kuweka kando Muswada wa Fedha 2024

    Maandamano ya vijana yamlazimisha Ruto kuweka kando Muswada wa Fedha 2024

    Jun 26, 2024 15:05

    Rais William Ruto wa Kenya amesema kwamba hatatia saini Muswada wa Fedha 2024 kuwa sheria. Ni baada ya maandamano makubwa ya siku kadhaa yaliyofuatiwa na mauaji ya waandamanaji mjini Nairobi jumanne ya jana.

  • Polisi wa Kenya washutumiwa kwa kumuua mmoja wa waandamanaji Nairobi

    Polisi wa Kenya washutumiwa kwa kumuua mmoja wa waandamanaji Nairobi

    Jun 21, 2024 07:57

    Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu yameijia juu polisi ya Kenya kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi mmoja wa waandamanaji wanaopinga mpango wa kuongeza ushuru, kodi na tozo.

  • Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Kuendelea uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza

    Jun 02, 2024 06:31

    Wananchi wa maeneo tofauti ya dunia wanaendela kufanya maandamano na mikusanyiko kwa ajili ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu na wanaosimama imara wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza juu ya kusimamishwa jinai za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.

  • Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jihadul-Islami: Tunautazama mpango uliopendekezwa na Biden kwa 'jicho la shaka'

    Jun 01, 2024 11:13

    Harakati ya Muqawama ya Jihadul-Islami ya Palestina imesema inautazama kwa jicho la shaka mpango uliotangazwa na Rais wa Marekani kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS