-
Saudi Arabia yaruhusu Umra kwa mahujaji wa kigeni
Nov 01, 2020 03:05Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu mahujaji kutoka nje kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.
-
Alkhamisi tarehe 23 Aprili mwaka 2020
Apr 22, 2020 22:13Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Shaabani 1441 Hijria sawa na Aprili 23 mwaka 2020.
-
Raia wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi wapigwa marufuku kuingia Makka na Madina kwa sababu ya corona
Feb 29, 2020 03:43Saudi Arabia imetangaza kuwa ni marufuku kwa raia wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuingia katika Haramaini za Makka na Madina, ikiwa ni hatua ya kuzuia maambukizi ya kirusi cha corona nchini humo.
-
Hijra ya Mtume (saw) kutoka Makka hadi Madina
Oct 30, 2019 06:49Jumatano ya wiki hii tarehe Mosi Mfunguo Sita Rabiul Awwal ilisadifiana na siku ya Hijra ya Mtume wetu Muhammad (saw) kutoka Makka na kuhamia Madina na inakumbusha tukio maarufu la "Lailatul Mabiit', usiku ambao ndani yake Amirul Muuminin Ali bin Abi Twalib (as) alisabilia nafsi yake kwa kulala katika kitanda cha Mtume wakati mtukufu huyo alipoondoka Makka akielekea Madina.
-
Jumatatu, 12 Agosti, mwaka 2019
Aug 11, 2019 22:11Leo ni Jumatatu tarehe 10 Dhulhija mwaka 1440 Hijria sawa na Agosti 12 mwaka 2019.
-
Mahujaji waanza kuelea Mina wakijitayarisha kwa kisimamo cha Arafa
Aug 09, 2019 03:42Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.
-
Jumanne tarehe 30 Julai mwaka 2019
Jul 29, 2019 21:56Leo ni Jumanne tarehe 27 Dhulqaada 1440 Hijria inayosadifiana na Julai 30 mwaka 2019.
-
Nukta nne muhimu za kushindwa vikao vya Makka
Jun 05, 2019 07:58Katika hali ambayo siku nne zimepita tokea kufanyika vikao vya Makka lakini bado matokeo mabaya na hata yaliyo kinyume na matarajio ya waandaaji wa vikao hivyo yangali yanaendelea kuakisiwa kieneo na kimataifa.
-
Vikao vya Makka; uchochezi ambao unaweka wazi kuchanganyikiwa Saudi Arabia
Jun 01, 2019 02:56Katika siku za Alhamisi na Ijumaa, Saudi Arabia iliandaa vikao vitatu katika mji mtakatifu wa Makka. Vikao hivyo vilikuwa vya kuhudumia ajinabi na maadui wa umma wa Kiislamu na wakati huo huo vimebainisha wazi kuchanganikiwa na kupoteza mwelekeo watawala wa nchi hiyo.
-
Amir wa Qatar hatoshiriki kikao cha Makka
May 30, 2019 03:47Amir wa Qatar amekataa ombi la mfalme wa Saudi Arabia la kufanya safari katika mji wa Makka na badala yake amemtuma Waziri wake Mkuu kumwakilisha huko Saudia.