Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia kuingia katika medani ya vita kukabiliana na TPLF

    Waziri Mkuu wa Ethiopia kuingia katika medani ya vita kukabiliana na TPLF

    Nov 23, 2021 07:35

    Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia ametangaza kuwa leo atajitosa kwenye medani ya vita kati ya vikosi vya serikali ya nchi hiyo na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).

  • Watu zaidi ya 51 wauawa katika hujuma ya magaidi nchini Mali

    Watu zaidi ya 51 wauawa katika hujuma ya magaidi nchini Mali

    Aug 10, 2021 07:40

    Zaidi ya watu 51 wameuawa katika hujuma iliyofanyika kaskazini mwa Mali karibu na mpaka wa nchi hiyo na Niger.

  • Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    Mazungumzo ya amani yaanza baina ya serikali ya Sudan na waasi wa SPLM huko Juba

    May 27, 2021 02:21

    Mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Sudan na Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Sudan tawi la Kaskazini (SPLM) yalianza jana katika mji wa Juba chini ya usimamizi wa Rais ya serikali ya Sudan Kusini, Salva Kiir Mayardit.

  • Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan

    Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan

    Apr 05, 2021 12:55

    Tovuti ya Axios ya Marekani imefichua kuwa, shirika la ujasusi la Israel, MOSSAD, limehusika katika jaribio la mapinduzi lililofanyika nchini Jordan.

  • UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka mapigano huko al Hudaydah, Yemen

    UN yabainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka mapigano huko al Hudaydah, Yemen

    Jan 29, 2021 02:07

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, una wasiwasi kutokana na kuongezeka mapigano kati ya wapiganaji wa harakati ya Ansarullah na wale wa serikali iliyojiuzulu ya Yemen katika eneo la kistratejia la al Hudaydah.

  • Mamluki wa Saudia na Imarati wazidi kutwangana nchini Yemen

    Mamluki wa Saudia na Imarati wazidi kutwangana nchini Yemen

    Nov 28, 2020 10:28

    Mapigano makali yanaendelea kusini mwa Yemen, baina ya mamluki wa Saudi Arabia chini ya serikali iliyojiuzulu ya Mansour Hadi na mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), chini ya Baraza la Mpito la Kusini.

  • UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    Nov 19, 2020 06:58

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, vita vinavyoendela katika eneo la Tigray baina ya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) vimewalazimisha raia karibu elfu 30 kukimbilia nchi jirani ya Sudan.

  • Wafuasi na wapinzani wa Trump wapigana Washington, Marekani

    Wafuasi na wapinzani wa Trump wapigana Washington, Marekani

    Nov 15, 2020 08:09

    Maandamano ya wafuasi wa rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington DC yameingia kwenye machafuko baada ya kuzuka mapigano baina yao na watu wanaopinga ubaguzi wa rangi.

  • Wapiganaji wa Janjaveed wa Sudan wapelekwa Libya kujiunga na Haftar

    Wapiganaji wa Janjaveed wa Sudan wapelekwa Libya kujiunga na Haftar

    Aug 11, 2020 11:23

    Jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya limetangaza kuwa mfasara uliokuwa na magari 70 ya kijeshi yakibeba silaha na mamluki wa kundi la Janjaweed umevuka maeneo maarufu kama Hilali ya Mafuta ya Libya ukiuelekea katika mji wa Sirte kwa ajili ya kumsaidia jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Waitifaki wa Saudia na Imarati waendelea kutwangana risasi na kuuana nchini Yemen

    Waitifaki wa Saudia na Imarati waendelea kutwangana risasi na kuuana nchini Yemen

    Jul 15, 2020 13:54

    Mapigano kati ya wanamgambo wa Baraza la Mpito linaloungwa mkono na Imarati na wale wanaoungwa mkono na Saudi Arabia katika mkoa wa Abyan kusini mwa Yemen yameshtadi na kupamba moto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS