• Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani hawamuamini Trump

    Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani hawamuamini Trump

    Nov 06, 2019 21:43

    Utafiti mpya unaonesha kuwa, akthari ya wananchi wa Wamarekani wanatiwa wasiwasi na utendaji kazi wa Rais Donald Trump, na wamepoteza imani na uongozi wa mwanasiasa huyo wa chama cha Republican.

  • Marekani na Israel zachochea na kuunga mkono machafuko ya Iraq

    Marekani na Israel zachochea na kuunga mkono machafuko ya Iraq

    Nov 06, 2019 04:35

    Rais wa Marekani na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameeleza kufurahishwa na machafuko ya Iraq na kusema wanaunga mkono hali hiyo.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zilizofeli za Washington

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zilizofeli za Washington

    Nov 05, 2019 08:06

    Serikali ya Trump inatekeleza vikwazo dhidi ya Iran ambavyo havijawahi kushuhudiwa huko nyuma baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana 2018 katika fremu ya siasa zake za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii; na ingali inaiwekea Iran vikwazo vipya.

  • Marekani yaanza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Paris

    Marekani yaanza kujiondoa rasmi kwenye Makubaliano ya Paris

    Nov 05, 2019 03:53

    Marekani imeanzisha mchakato wa kujiondoa rasmi katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.

  • Ulimwengu wa Spoti, Nov 4

    Ulimwengu wa Spoti, Nov 4

    Nov 04, 2019 04:34

    Hujambo mpenzi msikilizaji natumai huna neno, karibu tututupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa…….

  • Kuna watu milioni 38 masikini nchini Marekani

    Kuna watu milioni 38 masikini nchini Marekani

    Nov 03, 2019 09:15

    Raia wa Marekani wasiopungua milioni 38, wakiwemo watoto milioni 12 wanaishi katika umasikini wa kupindukia katika nchi hiyo ambayo ina utajiri mkubwa na Pato Ghafi la Taifa la juu zaidi duniani.

  • Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote

    Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote

    Nov 03, 2019 08:59

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote na kusisitiza kuwa: "Mazungumzo na Marekani hayajakuwa na faida kwa sababu hawataki kulegeza msimamo hata kidogo."

  • Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji

    Mahakama yasimamisha sera ya Trump dhidi ya wahamiaji

    Nov 03, 2019 04:34

    Jaji wa Mahakama ya Federali ya Wilaya ya Portland, jimboni Oregon ncini Marekani amesitisha kwa muda utekelezaji wa sera iliyotangazwa na utawala wa Rais Donald Trump ya kuwataka wahamiaji kuthibitisha kuwa wana uwezo wa kugharamia bima ya afya au matibabu kabla ya kupatiwa kibali cha kuingia nchini humo.

  • Larijani: Trump ni nembo ya sura ya kuogofya ya Marekani

    Larijani: Trump ni nembo ya sura ya kuogofya ya Marekani

    Nov 03, 2019 04:31

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema tabia ya Donald Trump ya kufichua sera haribifu zilizofichika za Ikulu ya White House ya Marekani imeweka hadharani sura halisi, mbaya na ya kuogofya ya Washington.

  • Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh

    Nov 02, 2019 23:02

    Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.