-
Rouhani: Vikwazo vya kikatili vya Marekani vimeongeza mshikamano nchini Iran
Sep 26, 2019 09:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya kikatili vya Marekani dhidi ya Tehran vimeshindwa kufikia malengo yake, na badala yake vimeongeza mshikamano miongoni mwa wananchi wa Iran.
-
China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa kununua mafuta ya Iran
Sep 26, 2019 08:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa China amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya nchi hiyo ya Asia kwa kuendelea kununua mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Binti wa Kiislamu alazimishwa kuvua hijabu kabla ya kuabiri ndege Marekani
Sep 26, 2019 00:43Binti wa Kiislamu ambaye anachezea timu ya taifa ya mchezo wa squash ya Marekani amewafungulia mashitaka wafanyakazi wa shirika la ndege la Air Canada kwa kumlazimisha kuvua hijabu kabla ya kuabiri ndege ya shirika hilo nchini Marekani.
-
Trump akariri tena tuhuma zake dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Sep 25, 2019 01:13Rais Donald Trump wa Marekani amelitumia jukwaa la mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kukariri kwa mara nyingine tena porojo na tuhuma zake za kila siku dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
'Kabla ya Mapinduzi ya 21 Septemba 2014, mabalozi wa Saudia na Marekani ndio walikuwa watawala wa Yemen'
Sep 25, 2019 01:10Waziri Mkuu wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa nchini Yemen amezungumzia uingiliaji mkubwa wa Marekani na Saudi Arabia katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kusema kuwa kabla ya mapinduzi ya tarehe 21 Septemba 2014, hali ya Yemen ilikuwa mbaya kiasi kwamba mabalozi wa Marekani na Saudia ndio walikuwa wakiiongoza nchi hiyo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi
Sep 25, 2019 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.
-
Trump 'alilia' Tuzo ya Nobel, asema Obama hakustahiki kupewa
Sep 24, 2019 04:18Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amedai kuwa ana ustahiki wa kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel.
-
Kukiri Marekani kwamba vikwazo vyake dhidi ya Iran vimefika kileleni na vimefeli
Sep 23, 2019 23:18Baada ya kujitoa bila sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kwa jina la JCPOA na kuirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo, bali kuongeza vikwazo vikubwa zaidi ambavyo havijawahi kutokea mfano wake, leo hii serikali ya Donald Trump ya Marekani imelazimika kukiri kuwa vikwazo vyake hivyo vimeshindwa kuzaa matunda yaliyotarajiwa.
-
Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China
Sep 22, 2019 23:10Siasa za kimaslahi na za upendeleo wa kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambazo zinalenga kushadidisha mgogoro wa ushuru wa forodha, zimeibua vita vikubwa vya kibiashara kati ya nchi hiyo na China.
-
Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni
Sep 22, 2019 09:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuweko mifarakano baina ya mataifa ya Mashariki ya Kati ndilo takwa la Marekani na Uzayuni.