Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rouhani: Vikwazo vya kikatili vya Marekani vimeongeza mshikamano nchini Iran

    Rouhani: Vikwazo vya kikatili vya Marekani vimeongeza mshikamano nchini Iran

    Sep 26, 2019 09:02

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya kikatili vya Marekani dhidi ya Tehran vimeshindwa kufikia malengo yake, na badala yake vimeongeza mshikamano miongoni mwa wananchi wa Iran.

  • China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa kununua mafuta ya Iran

    China yalaani vikwazo vya Marekani dhidi yake kwa kununua mafuta ya Iran

    Sep 26, 2019 08:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa China amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya nchi hiyo ya Asia kwa kuendelea kununua mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Binti wa Kiislamu alazimishwa kuvua hijabu kabla ya kuabiri ndege Marekani

    Binti wa Kiislamu alazimishwa kuvua hijabu kabla ya kuabiri ndege Marekani

    Sep 26, 2019 00:43

    Binti wa Kiislamu ambaye anachezea timu ya taifa ya mchezo wa squash ya Marekani amewafungulia mashitaka wafanyakazi wa shirika la ndege la Air Canada kwa kumlazimisha kuvua hijabu kabla ya kuabiri ndege ya shirika hilo nchini Marekani.

  • Trump akariri tena tuhuma zake dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Trump akariri tena tuhuma zake dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Sep 25, 2019 01:13

    Rais Donald Trump wa Marekani amelitumia jukwaa la mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kukariri kwa mara nyingine tena porojo na tuhuma zake za kila siku dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • 'Kabla ya Mapinduzi ya 21 Septemba 2014, mabalozi wa Saudia na Marekani ndio walikuwa watawala wa Yemen'

    'Kabla ya Mapinduzi ya 21 Septemba 2014, mabalozi wa Saudia na Marekani ndio walikuwa watawala wa Yemen'

    Sep 25, 2019 01:10

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa nchini Yemen amezungumzia uingiliaji mkubwa wa Marekani na Saudi Arabia katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kusema kuwa kabla ya mapinduzi ya tarehe 21 Septemba 2014, hali ya Yemen ilikuwa mbaya kiasi kwamba mabalozi wa Marekani na Saudia ndio walikuwa wakiiongoza nchi hiyo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi

    Sep 25, 2019 01:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.

  • Trump 'alilia' Tuzo ya Nobel, asema Obama hakustahiki kupewa

    Trump 'alilia' Tuzo ya Nobel, asema Obama hakustahiki kupewa

    Sep 24, 2019 04:18

    Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amedai kuwa ana ustahiki wa kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel.

  • Kukiri Marekani kwamba vikwazo vyake dhidi ya Iran vimefika kileleni na vimefeli

    Kukiri Marekani kwamba vikwazo vyake dhidi ya Iran vimefika kileleni na vimefeli

    Sep 23, 2019 23:18

    Baada ya kujitoa bila sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kwa jina la JCPOA na kuirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo, bali kuongeza vikwazo vikubwa zaidi ambavyo havijawahi kutokea mfano wake, leo hii serikali ya Donald Trump ya Marekani imelazimika kukiri kuwa vikwazo vyake hivyo vimeshindwa kuzaa matunda yaliyotarajiwa.

  • Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China

    Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China

    Sep 22, 2019 23:10

    Siasa za kimaslahi na za upendeleo wa kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambazo zinalenga kushadidisha mgogoro wa ushuru wa forodha, zimeibua vita vikubwa vya kibiashara kati ya nchi hiyo na China.

  • Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni

    Rais Rouhani: Kuweko mifarakano katika eneo, ndilo takwa la Marekani na Uzayuni

    Sep 22, 2019 09:27

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuweko mifarakano baina ya mataifa ya Mashariki ya Kati ndilo takwa la Marekani na Uzayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS