-
Venezuela yaalani kitendo cha Marekani cha kuiba ndege yake
Feb 13, 2024 08:21Serikali ya Venezuela imelaani vikali kitendo cha Marekani cha kuiba waziwazi ndege iliyokuwa ikimilikiwa na kampuni moja la Venezuela.
-
Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani
Feb 12, 2024 01:07Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.
-
Iran yaonya kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za Israel
Feb 09, 2024 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya vikali Marekani dhidi ya kuendelea kuiunga mkono Israel na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.
-
Chuo Kikuu cha Harvard cha US kuchunguzwa kwa kuwabagua wanachuo Waislamu
Feb 07, 2024 23:32Chuo Kikuu cha Harvard cha Marekani kinakabiliwa na uchunguzi wa serikali, baada ya wanachuo Waislamu na Waarabu katika chuo hicho kuwasilisha faili la kulalamikia vitendo vya dhulma, unyanyasaji, chuki na ubaguzi dhidi yao chuoni hapo.
-
Vikosi vya Yemen vyashambulia 'kwa mafanikio' meli za US na UK
Feb 06, 2024 09:13Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen amesema vikosi vya baharini vya nchi hiyo vimeshambulia kwa makombora meli za Marekani na Uingereza katika pwani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi
Feb 06, 2024 07:30Russia na China zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria na kusisitiza kuwa, Washington ni tishio kwa usalama wa eneo zima la Asia Magharibi.
-
Iran yazionya Marekani na Uingereza: Msijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo
Feb 05, 2024 03:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amelaani vitendo vya uchokozi vya hivi karibuni dhidi ya nchi za Asia Magharibi na kuzionya Marekani na Uingereza kwamba zisijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo hili.
-
Hatari za mitandao ya kijamii na juhudi za kuzitungia sheria
Feb 05, 2024 00:18Katika miaka ya hivi karibuni, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu isiyotenganishika na maisha ya mwandamu wa sasa, kwa kadiri kwamba, ni nadra sana kumpata mtu ambaye hajajiunga kwenye mitandao hiyo na kufuatilia masuala mbalimbali anayoyapenda na yanayoivutia nafsi yake.
-
Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi
Feb 03, 2024 23:07Marekani ambayo kwa miaka kadhaa sasa imevuruga amani ya eneo la Magharibi mwa Asia kutokana na uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo ili kufanikisha malengo yake na ya washirika wake, imekuwa ikiyumbisha usalama wa eneo hilo nyeti na muhimu kwa kufanya mashambulizi na uvamizi wa mara kwa mara.
-
Taarifa ya Jeshi la Syria: Mashambulizi ya Marekani yanalenga kulirejesha kundi la Daesh
Feb 03, 2024 08:56Wizara ya Ulinzi ya Syria imesema leo kuwa mashambulizi ya jana ya Marekani katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na Iraq yametekelezwa katika maeneo ambako jeshi la Syria linaendelea kupambana dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.