Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Makumi watiwa mbaroni Misri kwa kupinga kukabidhiwa Saudia visiwa vya nchi yao

    Makumi watiwa mbaroni Misri kwa kupinga kukabidhiwa Saudia visiwa vya nchi yao

    Jun 16, 2017 15:24

    Polisi ya Misri imewatia mbaroni makumi ya watu wanaopinga jaribio la serikali ya nchi hiyo ya kutaka kuipa Saudia visiwa vya nchi yao vya Tiran na Sanafir.

  • Askari 30 watiwa nguvuni nchini Cameroon kwa kukiuka kanuni za jeshi

    Askari 30 watiwa nguvuni nchini Cameroon kwa kukiuka kanuni za jeshi

    Jun 07, 2017 15:36

    Waziri wa Uinzi wa Cameroon ametangaza kuwa askari 30 wa jeshi la nchi hiyo wametiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya maandamano ya kupinga serikali.

  • Polisi ya Ufaransa yawatia mbaroni wanawake wa Kiislamu waliojistiri kwa hijabu

    Polisi ya Ufaransa yawatia mbaroni wanawake wa Kiislamu waliojistiri kwa hijabu

    May 27, 2017 13:40

    Polisi ya Ufaransa imewatia nguvuni wanawake 10 wa Kiislamu kwa kosa la kuvaa vazi la staha la hijabu katika mji wa Cannes.

  • Baba wa mhusika wa shambulio la kigaidi la Manchester akamatwa nchini Libya

    Baba wa mhusika wa shambulio la kigaidi la Manchester akamatwa nchini Libya

    May 25, 2017 07:50

    Baada ya kukamatwa ndugu wa kiume wa Salman Abedi, mhusika wa shambulio la kigaidi la mjini Manchester, Uingereza, kitengo cha kupambana na ugaidi nchini Libya kimetangaza kuwa kimemkamata pia baba wa mhusika huyo wa shambulio hilo.

  • Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani

    Umoja wa Mataifa waitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru wapinzani

    May 05, 2017 04:04

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Ethiopia kuwaachilia huru watu ambao walitiwa nguvuni katika maandamano dhidi ya serikali hiyo kuanzia mwaka jana hadi mwaka huu.

  • Wazayuni wawateka nyara Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Wazayuni wawateka nyara Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Apr 29, 2017 15:30

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameyavamia maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwateka nyara Wapalestina kadhaa.

  • Makumi ya makuhani wa Kizayuni wadhalilisha watu kijinsia, watiwa mbaroni

    Makumi ya makuhani wa Kizayuni wadhalilisha watu kijinsia, watiwa mbaroni

    Mar 30, 2017 02:32

    Zaidi ya makuhani 20 wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zilizovamiwa na kuanza kukaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni mwaka 1948 wametiwa mbaroni kwa kosa la kuwadhalilisha watu kijinsia.

  • Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya

    Washukiwa 6 wa al Shabab watiwa nguvuni Malindi, Kenya

    Mar 11, 2017 16:49

    Polisi ya kupambana na ugaidi ya Kenya imewatia nguvuni watu 6 wanaoshukiwa kuwa magaidi wa kundi la al Shabab katika mji wa pwani wa Malindi.

  • Usafishaji idara ya usalama nchini Gambia, hatua ya kwanza ya Rais Adama Barrow

    Usafishaji idara ya usalama nchini Gambia, hatua ya kwanza ya Rais Adama Barrow

    Feb 23, 2017 03:04

    Sambamba na kuanza rasmi kazi yake, Rais mpya wa Gambia ametekeleza hatua muhimu katika kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

  • Mamia ya wageni watiwa mbaroni nchini Marekani

    Mamia ya wageni watiwa mbaroni nchini Marekani

    Feb 11, 2017 16:38

    Polisi wanaoshughulikia masuala ya wahamiaji nchini Marekani walianzisha opereseheni ya kushtukiza kuanzia siku ya Jumatatu hadi jana Ijumaa na kuwatia mbaroni mamia ya wahamiaji katika majimbo sita ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS