Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Feb 07, 2017 07:43

    Askari usalama wa Morocco wamewatia mbaroni wanachama watatu wa kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Dec 27, 2016 04:42

    Wapinzani kadhaa wa kisiasa nchini Sudan wameachiliwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya usalama kwa karibu miezi miwili kufuatia kile kilichoelezwa kuwa nia yao ya kutaka kufanya maandamano dhidi ya serikali.

  • Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Polisi Kongo yawatia mbaroni makumi ya raia

    Dec 23, 2016 07:42

    Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewatia mbaroni makundi ya raia kwa kosa la kushiriki maandamano dhidi ya serikali.

  • Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Dec 19, 2016 14:58

    Mkuu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Burundi (Iteka) amesema anatiwa wasiwasi na kuzidi kutiwa mbaroni wapinzani nchini humo.

  • Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi

    Maelfu ya watu watiwa mbaroni Saudi Arabia kwa tuhuma za ugaidi

    Dec 18, 2016 03:01

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudi Arabia imetangaza habari ya kutiwa nguvuni maelfu ya watu nchini humo kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na makundi ya kigaidi.

  • Polisi watiwa mbaroni Burundi kwa kutaka kumuua msemaji wa Rais

    Polisi watiwa mbaroni Burundi kwa kutaka kumuua msemaji wa Rais

    Dec 04, 2016 07:29

    Jeshi la polisi nchini Burundi limewatia mbaroni maafisa watatu wa jeshi hilo kwa tuhuma za kushiriki katika jaribio la kutaka kumuua Willy Nyamitwe, msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza.

  • Mawakili Kongo DR wakosoa kutiwa nguvuni watoto Lubumbashi

    Mawakili Kongo DR wakosoa kutiwa nguvuni watoto Lubumbashi

    Aug 15, 2016 04:21

    Jumuiya ya Mawakili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekosoa kitendo cha polisi wa nchi hiyo cha kuwatia nguvuni watoto kadhaa katika mji wa Lubumbashi nchini humo.

  • Wimbi jipya la utiaji nguvuni wapinzani lashuhudiwa nchini Bahrain

    Wimbi jipya la utiaji nguvuni wapinzani lashuhudiwa nchini Bahrain

    Aug 02, 2016 16:16

    Vikosi vya utawala wa Aal Khalifa limemtia nguvuni Mkuu wa Baraza la harakati ya al-Wifaq na viongozi wengine kadhaa wa kidini wa nchi hiyo.

  • Raia mmoja wa Algeria atiwa mbaroni akihusishwa na mashambulio ya Paris Ufaransa

    Raia mmoja wa Algeria atiwa mbaroni akihusishwa na mashambulio ya Paris Ufaransa

    Feb 28, 2016 16:30

    Maafisa usalama wa Algeria wametangaza habari ya kutiwa mbaroni raia mmoja wa nchi hiyo aliyekuwa anaishi nchini Ubelgiji kwa tuhuma za kuhusika katika mashambulizi ya mjini Paris Ufaransa.

  • Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani

    Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani

    Feb 21, 2016 02:48

    Idara ya Mkuu wa Mashtaka wa Burundi imetangaza kuwa imefuta waranti wa kutiwa nguvuni idadi kadhaa ya watu wanaofuatiliwa kisheria.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS