-
Ulimwengu wa Michezo, Jan 14
Jan 14, 2019 03:54Mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....
-
Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)
Jan 08, 2019 10:30Shirikisho la Soka Afrika CAF limetangaza leo Jumanne kuwa Misri ndiyo itakuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2019, baada ya kuipokonya Cameroon uenyeji huo.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 14
May 14, 2018 01:43Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita..
-
Wanariadha 13 wa Afrika 'watoweka' Australia
Apr 12, 2018 10:23Wanariadha 13 wa Afrika walioenda kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Madola nchini Australia wametoweka katika mazingira ya kutatanisha.
-
Vita dhidi ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki, Korea Kusini!
Feb 10, 2018 13:05Vita na hujuma dhidi ya Uislamu inaonekana sasa kushamiri zaidi na kuingia katika michezo ya kimataifa.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 23
Oct 23, 2017 04:39Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tutupie jicho matukio kadhaa muhimu yaliyotawala uga wa spoti kitaifa na kimataifa, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi...
-
Ulimwengu wa Michezo
Oct 16, 2017 04:38Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kukupasha matukio mawili matatu yaliyotikisa uga wa michezo duniani, ndani ya siku saba zilizopita. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi, karibu……...
-
Ulimwengu wa Michezo, Septemba 11
Sep 11, 2017 01:13Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu katika dakika hizi chache tutupie jicho matukio kadhaa ya michezo yaliyotawala vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa. Karibu…
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 17
Apr 17, 2017 02:31Karibu tukupashe kwa kina bingwa wa Ligi Kuu ya Soka Iran, matokeo ya Kombe la CAF na msimamo wa Ligi Kuu ya Soka Uingereza........
-
Wanasayansi Wairani waunda chombo erevu cha kupima kasi ya wanariadha
Mar 01, 2017 05:07Disemba mwaka jana, Wanasayansi Wairani walifanikiwa kuunda chombo cha chronometer ambacho hupima kasi ya wanariadha. Chombo kilichoundwa na Wairani ni erevu na kinaondoa uwezekano wa kosa la mwanadamu katika kuainisha kasi ya mwanariadha.