-
Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi
Dec 20, 2016 08:03Watu watatu wamejeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na bunduki kushambulia msikiti na kufyatua risasi ovyo akiwalenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada zao katika mji wa Zurich nchini Uswisi usiku wa kuamkia leo.
-
Jumatatu, 12 Disemba, 2016
Dec 12, 2016 05:06Leo ni Jumatatu tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 12, 2016.
-
Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013
Nov 23, 2016 04:17Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
-
Gaidi mmoja atishia kuripua msikiti mjini Michigan, Marekani
Oct 07, 2016 04:26Vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu na maeneo yao ya ibada vimezidi kuongezeka nchini Marekani, na habari za karibuni kabisa zinasema kuwa gaidi mmoja ametoa ametoa matamshi ya vitisho dhidi ya misikiti nchini humo.
-
Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan
Sep 17, 2016 02:40Watu wasiopungua 23 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa ndani ya msikiti katika Sala ya Ijumaa wilayani Mohmand nchini Pakistan.
-
Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia
Jul 10, 2016 03:40Misikiti kadhaa mjini London Uingereza imepokea vitisho vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoaminika kuwa ya wabaguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.
-
Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan
May 27, 2016 15:27Watu wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa msikitini na watu waliokuwa na silaha katika mji wa al Junaynah mkoani Darfur Magharibi huko Sudan.
-
Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)
May 20, 2016 16:27Genge la watu waliouhujumu msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa Tanzania Jumatano usiku na kutekeleza mauaji walikuwa na bendera za kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia
Apr 01, 2016 04:22Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.
-
Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa
Mar 18, 2016 14:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.