Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi

    Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi

    Dec 20, 2016 08:03

    Watu watatu wamejeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na bunduki kushambulia msikiti na kufyatua risasi ovyo akiwalenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada zao katika mji wa Zurich nchini Uswisi usiku wa kuamkia leo.

  • Jumatatu, 12 Disemba, 2016

    Jumatatu, 12 Disemba, 2016

    Dec 12, 2016 05:06

    Leo ni Jumatatu tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1438 Hijria sawa na Disemba 12, 2016.

  • Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Nov 23, 2016 04:17

    Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Gaidi mmoja atishia kuripua msikiti mjini Michigan, Marekani

    Gaidi mmoja atishia kuripua msikiti mjini Michigan, Marekani

    Oct 07, 2016 04:26

    Vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu na maeneo yao ya ibada vimezidi kuongezeka nchini Marekani, na habari za karibuni kabisa zinasema kuwa gaidi mmoja ametoa ametoa matamshi ya vitisho dhidi ya misikiti nchini humo.

  • Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan

    Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan

    Sep 17, 2016 02:40

    Watu wasiopungua 23 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa ndani ya msikiti katika Sala ya Ijumaa wilayani Mohmand nchini Pakistan.

  • Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Misikiti London yapokea vitisho kutoka magaidi wa mrengo wa kulia

    Jul 10, 2016 03:40

    Misikiti kadhaa mjini London Uingereza imepokea vitisho vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoaminika kuwa ya wabaguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.

  • Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    Watu wanane wauawa katika shambulizi msikitini Sudan

    May 27, 2016 15:27

    Watu wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika shambulio lililofanywa msikitini na watu waliokuwa na silaha katika mji wa al Junaynah mkoani Darfur Magharibi huko Sudan.

  • Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    May 20, 2016 16:27

    Genge la watu waliouhujumu msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa Tanzania Jumatano usiku na kutekeleza mauaji walikuwa na bendera za kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia

    Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia

    Apr 01, 2016 04:22

    Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.

  • Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa

    Shambulizi dhidi ya msikiti Nigeria laendelea kulaaniwa

    Mar 18, 2016 14:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti nchini Nigeria na kuua watu 25.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS