Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Polisi Msumbiji yakamata kilo 573 za kokeini katika meli ya India

    Polisi Msumbiji yakamata kilo 573 za kokeini katika meli ya India

    Nov 13, 2024 02:19

    Polisi ya Msumbiji imekamata kilo 573 sawa na (pauni 1,263) za dawa za kulevya aina ya kokeini katika meli ya India. Haya yameelezwa na Idara ya Taifa ya Upelelezi ya nchi hiyo.

  • Jeshi latumwa mitaani kuzima ghasia za baada ya uchaguzi Msumbiji

    Jeshi latumwa mitaani kuzima ghasia za baada ya uchaguzi Msumbiji

    Nov 09, 2024 03:19

    Msumbiji imetuma wanajeshi mitaani kusaidia kudumisha utulivu kufuatia wiki kadhaa za maandamano ya ghasia dhidi ya chama tawala ambacho kinatuhumiwa kwa udanganyifu katika uchaguzi wa mwezi uliopita.

  • Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

    Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

    Oct 21, 2024 11:47

    Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat leo Jumatatu amelaani mauaji ya viongozi wawili wa upinzani nchini Msumbiji na kutaka uchunguzi ufanyike ili wahusika wafikishwe mbele ya sheria.

  • Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge

    Oct 09, 2024 10:59

    Raia wa Msumbiji wasiopungua milioni 17 waliojiandikisha kupiga kura mapema leo walielekea katika vituo vya kura kwa lengo la kumchagua rais mpya, wawakilishi wa bunge na magavana wa majimbo ya nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kwa kiasi kikubwa kukibakisha madarakani chama tawala cha FRELIMO ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 49 sasa.

  • Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani

    Aug 29, 2024 02:51

    Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.

  • Jumanne, tarehe 25 Juni, 2024

    Jumanne, tarehe 25 Juni, 2024

    Jun 25, 2024 02:27

    Leo ni Jumanne tarehe 18 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni 2024.

  • Karibu laki 1 wakimbia makwao kutoka na hujuma za wanamgambo Msumbiji

    Karibu laki 1 wakimbia makwao kutoka na hujuma za wanamgambo Msumbiji

    Mar 06, 2024 11:42

    Makumi ya maelfu ya raia wamelazimika kuyakimbia makazi yao nchini Msumbiji baada ya kuibuka tena machafuko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jumapili, 25 Juni, 2023

    Jumapili, 25 Juni, 2023

    Jun 25, 2023 02:38

    Leo ni Jumapili tarehe 6 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 144 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2023 Miladia.

  • Kimbunga cha Freddy chaua watu wasiopungua 100 huko Malawi

    Kimbunga cha Freddy chaua watu wasiopungua 100 huko Malawi

    Mar 14, 2023 07:53

    Msumbiji na Malawi zinatathmini maafa ya Kimbunga kwa jina la Freddy, ambacho kimelikumba eneo la Kusini mwa Afrika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja sasa na kusababisha uharibifu mkubwa na kuua watu wasiopungua 100 huko Malawi.

  • Mwana wa rais wa zamani wa Msumbiji na maafisa 2 wa zamani wa intelijinsia wahukumiwa kifungo jela

    Mwana wa rais wa zamani wa Msumbiji na maafisa 2 wa zamani wa intelijinsia wahukumiwa kifungo jela

    Dec 07, 2022 15:17

    Mahakama nchini Msumbiji leo imewakuhuku kifungo jela mwana wa kiume wa rais wa zamani wa nchi hiyo na wakuu wawili wa zamani wa intelijinsia kifungo cha miaka 12 kila mmoja kwa kuhusika na kashfa ya ufisadi ambapo serikali ilitaka kuficha madeni makubwa na kusababisha upoteaji wa fedha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS