-
Polisi Msumbiji yakamata kilo 573 za kokeini katika meli ya India
Nov 13, 2024 02:19Polisi ya Msumbiji imekamata kilo 573 sawa na (pauni 1,263) za dawa za kulevya aina ya kokeini katika meli ya India. Haya yameelezwa na Idara ya Taifa ya Upelelezi ya nchi hiyo.
-
Jeshi latumwa mitaani kuzima ghasia za baada ya uchaguzi Msumbiji
Nov 09, 2024 03:19Msumbiji imetuma wanajeshi mitaani kusaidia kudumisha utulivu kufuatia wiki kadhaa za maandamano ya ghasia dhidi ya chama tawala ambacho kinatuhumiwa kwa udanganyifu katika uchaguzi wa mwezi uliopita.
-
Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji
Oct 21, 2024 11:47Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat leo Jumatatu amelaani mauaji ya viongozi wawili wa upinzani nchini Msumbiji na kutaka uchunguzi ufanyike ili wahusika wafikishwe mbele ya sheria.
-
Wananchi wa Msumbiji wapiga kura kumchagua rais na wabunge
Oct 09, 2024 10:59Raia wa Msumbiji wasiopungua milioni 17 waliojiandikisha kupiga kura mapema leo walielekea katika vituo vya kura kwa lengo la kumchagua rais mpya, wawakilishi wa bunge na magavana wa majimbo ya nchi hiyo katika uchaguzi unaotazamiwa kwa kiasi kikubwa kukibakisha madarakani chama tawala cha FRELIMO ambacho kimekuwa madarakani kwa miaka 49 sasa.
-
Msumbiji yawaachia huru mabaharia kumi wa Kiirani
Aug 29, 2024 02:51Mabaharia 10 wa Iran waliokuwa wanashikiliwa nchini Msumbiji wameachiliwa huru.
-
Jumanne, tarehe 25 Juni, 2024
Jun 25, 2024 02:27Leo ni Jumanne tarehe 18 Mfunguo Tatu Dhulhija 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni 2024.
-
Karibu laki 1 wakimbia makwao kutoka na hujuma za wanamgambo Msumbiji
Mar 06, 2024 11:42Makumi ya maelfu ya raia wamelazimika kuyakimbia makazi yao nchini Msumbiji baada ya kuibuka tena machafuko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Jumapili, 25 Juni, 2023
Jun 25, 2023 02:38Leo ni Jumapili tarehe 6 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 144 Hijria sawa na tarehe 25 Juni 2023 Miladia.
-
Kimbunga cha Freddy chaua watu wasiopungua 100 huko Malawi
Mar 14, 2023 07:53Msumbiji na Malawi zinatathmini maafa ya Kimbunga kwa jina la Freddy, ambacho kimelikumba eneo la Kusini mwa Afrika kwa mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja sasa na kusababisha uharibifu mkubwa na kuua watu wasiopungua 100 huko Malawi.
-
Mwana wa rais wa zamani wa Msumbiji na maafisa 2 wa zamani wa intelijinsia wahukumiwa kifungo jela
Dec 07, 2022 15:17Mahakama nchini Msumbiji leo imewakuhuku kifungo jela mwana wa kiume wa rais wa zamani wa nchi hiyo na wakuu wawili wa zamani wa intelijinsia kifungo cha miaka 12 kila mmoja kwa kuhusika na kashfa ya ufisadi ambapo serikali ilitaka kuficha madeni makubwa na kusababisha upoteaji wa fedha.