-
Watu 10 wafariki, 98 wajeruhiwa kwenye msongamano wa kampeni za uchaguzi Msumbiji
Sep 13, 2019 07:23Watu wasiopungua 10 wamefariki dunia nchini Msumbiji na wengine 98 wamejeruhiwa katika vurugu na msongamano uliotokea katika mkutano wa kampeni za uchaguzi uliohutubiwa na rais wa nchi hiyo Filipe Nyusi.
-
Rais wa Msumbiji na kiongozi wa Renamo wasaini makubaliano ya amani
Aug 02, 2019 01:20Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji na Ossufo Momade, kiongozi wa Renamo, iliyokuwa harakati ya waasi na ambayo sasa ni chama cha siasa cha upinzani, wamesaini mkataba wa amani wa kuhitimisha uhasama wa vita vya kijeshi.
-
Jumanne, Juni 25, 2019
Jun 25, 2019 02:25Leo ni Jumanne tarehe 21 Mfunguo Mossi Shawwal 1440 Hijria sawa na Juni 25 mwaka 2019 Milaadia.
-
Wafadhili waahidi dola bilioni 1.2 kuisaidia Msumbuji baada ya vimbunga
Jun 03, 2019 03:42Jumla ya dola bilioni 1.2 zimechangishwa mjini Beira katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili wa ufadhili kwa ajili ya ujenzi mpya wa kijamii, uzalishaji na miundombinu nchini Msumbiji baada ya taifa hilo kuathirika vibaya na vimbunga mapema mwaka huu.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Msumbiji
Jun 01, 2019 11:22Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi jipya la kigaidi lililotokea huko kaskazini mwa Msumbiji.
-
Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea
Apr 28, 2019 14:32Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba watoto na familia zao nchini Msumbiji wanaweza kukabiliwa na hatari ya kifo kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko.
-
Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti
Apr 25, 2019 16:42Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa, kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya kusini ya Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji kuanzia usiku wa leo. Hadi sasa wameshapokelewa watu takribani mia sita katika eneo la hifadhi. AMARI DACHI na taarifa zaidi akiripoti kutoka Dar es Salaam
-
UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai
Apr 15, 2019 07:48Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.
-
Zaidi ya watu 1000 wamekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu nchini Msumbiji
Apr 02, 2019 13:50Viongozi wa idara ya Msumbiji wametangaza kwamba zaidi ya watu 1000 wameambukizwa maradhi ya kipindupindu nchini humo.
-
Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi
Mar 30, 2019 16:00Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.