-
Upinzani Msumbiji wakataa kukubali matokeo ya uchaguzi
Oct 20, 2019 07:27Chama kikuu cha upinzani cha Renamo nchini Msumbiji kimepinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.
-
Wamsumbiji washiriki katika uchaguzi muhimu kwa amani na usalama wa nchi yao
Oct 15, 2019 08:04Wananchi wa Msumbiji leo wameelekea kwenye vituo vya kupigia kura kushiriki katika uchaguzi unaotazamiwa kupima mafanikio ya makubaliano tete ya amani yaliyosainiwa miezi miwili iliyopita kati ya chama tawala cha Frelimo na hasimu wake wa vita vya muda mrefu vya ndani Renamo, ambayo sasa ni chama cha siasa cha upinzani.
-
UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji
Sep 18, 2019 07:50Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto milioni moja nchini Msumbiji wanakabiliwa na hatari ya kifo baada ya nchi hiyo kukumbwa na kimbunga.
-
Watu 10 wafariki, 98 wajeruhiwa kwenye msongamano wa kampeni za uchaguzi Msumbiji
Sep 13, 2019 07:23Watu wasiopungua 10 wamefariki dunia nchini Msumbiji na wengine 98 wamejeruhiwa katika vurugu na msongamano uliotokea katika mkutano wa kampeni za uchaguzi uliohutubiwa na rais wa nchi hiyo Filipe Nyusi.
-
Rais wa Msumbiji na kiongozi wa Renamo wasaini makubaliano ya amani
Aug 02, 2019 01:20Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji na Ossufo Momade, kiongozi wa Renamo, iliyokuwa harakati ya waasi na ambayo sasa ni chama cha siasa cha upinzani, wamesaini mkataba wa amani wa kuhitimisha uhasama wa vita vya kijeshi.
-
Jumanne, Juni 25, 2019
Jun 25, 2019 02:25Leo ni Jumanne tarehe 21 Mfunguo Mossi Shawwal 1440 Hijria sawa na Juni 25 mwaka 2019 Milaadia.
-
Wafadhili waahidi dola bilioni 1.2 kuisaidia Msumbuji baada ya vimbunga
Jun 03, 2019 03:42Jumla ya dola bilioni 1.2 zimechangishwa mjini Beira katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili wa ufadhili kwa ajili ya ujenzi mpya wa kijamii, uzalishaji na miundombinu nchini Msumbiji baada ya taifa hilo kuathirika vibaya na vimbunga mapema mwaka huu.
-
Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Msumbiji
Jun 01, 2019 11:22Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi jipya la kigaidi lililotokea huko kaskazini mwa Msumbiji.
-
Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea
Apr 28, 2019 14:32Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba watoto na familia zao nchini Msumbiji wanaweza kukabiliwa na hatari ya kifo kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko.
-
Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti
Apr 25, 2019 16:42Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa, kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya kusini ya Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji kuanzia usiku wa leo. Hadi sasa wameshapokelewa watu takribani mia sita katika eneo la hifadhi. AMARI DACHI na taarifa zaidi akiripoti kutoka Dar es Salaam