Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Upinzani Msumbiji wakataa kukubali matokeo ya uchaguzi

    Upinzani Msumbiji wakataa kukubali matokeo ya uchaguzi

    Oct 20, 2019 07:27

    Chama kikuu cha upinzani cha Renamo nchini Msumbiji kimepinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.

  • Wamsumbiji washiriki katika uchaguzi muhimu kwa amani na usalama wa nchi yao

    Wamsumbiji washiriki katika uchaguzi muhimu kwa amani na usalama wa nchi yao

    Oct 15, 2019 08:04

    Wananchi wa Msumbiji leo wameelekea kwenye vituo vya kupigia kura kushiriki katika uchaguzi unaotazamiwa kupima mafanikio ya makubaliano tete ya amani yaliyosainiwa miezi miwili iliyopita kati ya chama tawala cha Frelimo na hasimu wake wa vita vya muda mrefu vya ndani Renamo, ambayo sasa ni chama cha siasa cha upinzani.

  • UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji

    UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji

    Sep 18, 2019 07:50

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto milioni moja nchini Msumbiji wanakabiliwa na hatari ya kifo baada ya nchi hiyo kukumbwa na kimbunga.

  • Watu 10 wafariki, 98 wajeruhiwa kwenye msongamano wa kampeni za uchaguzi Msumbiji

    Watu 10 wafariki, 98 wajeruhiwa kwenye msongamano wa kampeni za uchaguzi Msumbiji

    Sep 13, 2019 07:23

    Watu wasiopungua 10 wamefariki dunia nchini Msumbiji na wengine 98 wamejeruhiwa katika vurugu na msongamano uliotokea katika mkutano wa kampeni za uchaguzi uliohutubiwa na rais wa nchi hiyo Filipe Nyusi.

  • Rais wa Msumbiji na kiongozi wa Renamo wasaini makubaliano ya amani

    Rais wa Msumbiji na kiongozi wa Renamo wasaini makubaliano ya amani

    Aug 02, 2019 01:20

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji na Ossufo Momade, kiongozi wa Renamo, iliyokuwa harakati ya waasi na ambayo sasa ni chama cha siasa cha upinzani, wamesaini mkataba wa amani wa kuhitimisha uhasama wa vita vya kijeshi.

  • Jumanne, Juni 25, 2019

    Jumanne, Juni 25, 2019

    Jun 25, 2019 02:25

    Leo ni Jumanne tarehe 21 Mfunguo Mossi Shawwal 1440 Hijria sawa na Juni 25 mwaka 2019 Milaadia.

  • Wafadhili waahidi dola bilioni 1.2 kuisaidia Msumbuji baada ya vimbunga

    Wafadhili waahidi dola bilioni 1.2 kuisaidia Msumbuji baada ya vimbunga

    Jun 03, 2019 03:42

    Jumla ya dola bilioni 1.2 zimechangishwa mjini Beira katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili wa ufadhili kwa ajili ya ujenzi mpya wa kijamii, uzalishaji na miundombinu nchini Msumbiji baada ya taifa hilo kuathirika vibaya na vimbunga mapema mwaka huu.

  • Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Msumbiji

    Watu 16 wauawa katika shambulizi la kigaidi nchini Msumbiji

    Jun 01, 2019 11:22

    Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulizi jipya la kigaidi lililotokea huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea

    Watoto Karibu Laki Nne Msumbiji wanahitaji msaada, mvua kuendelea

    Apr 28, 2019 14:32

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limeonya kwamba watoto na familia zao nchini Msumbiji wanaweza kukabiliwa na hatari ya kifo kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko.

  • Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Kimbunga cha Kenneth kufika kusini mwa Tanzania usiku wa leo, tahadhari zachukuliwa + Sauti

    Apr 25, 2019 16:42

    Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa, kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya kusini ya Tanzania na kaskazini mwa Msumbiji kuanzia usiku wa leo. Hadi sasa wameshapokelewa watu takribani mia sita katika eneo la hifadhi. AMARI DACHI na taarifa zaidi akiripoti kutoka Dar es Salaam

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS