Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Nov 20, 2016 02:40

    Jimbo la Rakhine lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu nchini Myanmar limeendelea kushuhudia ukatili na mauaji ya kutisha dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba

    UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba

    Nov 19, 2016 07:41

    Umoja wa Mataifa umesema operesheni kali ya kiusalama inayoendelea kushuhudiwa katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar imesababisha makumi ya maelfu ya watu kubaki bila makazi tangu mwezi uliopita wa Oktoba.

  • Kuendelea kuuliwa Waislamu wa Myanmar na jeshi la nchi hiyo

    Kuendelea kuuliwa Waislamu wa Myanmar na jeshi la nchi hiyo

    Nov 18, 2016 03:05

    Taasisi ya Taifa ya Arakan Rohingya ARNO (Arakan Rohingya National Organisation) imetangaza kuwa, Waislamu wasiopungua 150 wameuliwa na wanajeshi wa Myanmar katika kipindi cha siku tano zilizopita katika mkoa wa Rakhin wa magharibi mwa nchi hiyo.

  • Waislamu Warohingya 150 wauliwa katika shambulio la jeshi la Myanmar

    Waislamu Warohingya 150 wauliwa katika shambulio la jeshi la Myanmar

    Nov 17, 2016 07:24

    Waislamu wasiopungua 150 wa jamii ya Rohingya wameuliwa katika mashambulio yaliyofanywa na jeshi la Myanmar katika eneo la Rakhine.

  • Jeshi la Myanmar laua makumi ya Waislamu wa Rohingya

    Jeshi la Myanmar laua makumi ya Waislamu wa Rohingya

    Nov 14, 2016 15:25

    Jeshi la Myanmar limeua makumi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika wimbi jipya la ukandamizaji unaofanyika nchini humo dhidi ya jamii hiyo ya waliowachache hususan katika mkoa wa Rakhine.

  • UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    UNICEF: Hujuma dhidi ya watoto Myanmar inatia wasi wasi

    Nov 10, 2016 13:28

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umeeleza wasi wasi wake kuhusu jinai za kutisha dhidi ya watoto zinazotekelezwa na jeshi la Myanmar katika jimbo la Rakhine.

  • Wanawake Waislamu nchini Myanmar wananajisiwa na askari

    Wanawake Waislamu nchini Myanmar wananajisiwa na askari

    Oct 28, 2016 13:58

    Makumi ya wanawake Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar wanasema wanajeshi wa serikali wamekuwa wakiwanajisi na kuwadhalilisha kijinsia.

  • Serikali ya Myanmar yazuia misaada kufikishwa kwa Waislamu wa nchi hiyo

    Serikali ya Myanmar yazuia misaada kufikishwa kwa Waislamu wa nchi hiyo

    Oct 20, 2016 07:49

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa serikali ya Myanmar imezuia misaada ya chakula kufikishwa kwa Waislamu wa Kabila la Rohingya wanaoishi katika jimbo la Rakhine kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Baraza la Waislamu Myanmar: Tuhuma za jeshi la polisi dhidi yetu zinatia wasi wasi mkubwa

    Baraza la Waislamu Myanmar: Tuhuma za jeshi la polisi dhidi yetu zinatia wasi wasi mkubwa

    Oct 17, 2016 08:15

    Baraza la Waislamu nchini Myanmar limelaani shambulizi lililofanywa hivi karibuni katika kituo cha pilisi katika jimbo la Rakhine, na kuongeza kuwa, madai yanayotolewa na jeshi hilo dhidi ya Waislamu kuhusiana na hujuma hiyo, hayana msingi wowote.

  • Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Kuendelea mateso dhidi ya Waislamu wa Rohingya huko Myanmar

    Oct 16, 2016 02:38

    Shambulio la hivi karibuni la watu wasiofahamika katika kituo cha ulinzi wa mpakani kati ya Myanmar na Bangladesh kimekuwa kisingizio tosha kwa jeshi na Mabudha wenye misimamo mikali huko Myanmar cha kuwashambulia tena Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS