Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18

    Jan 26, 2025 10:33

    Mamlaka za Nigeria zimeanzisha uchunguzi baada ya watu 18 kuthibitishwa kufariki dunia kwenye mripuko wa lori la mafuta ya petroli.

  • Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina

    Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina

    Jan 25, 2025 08:03

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili ya kuzienzi familia za wafuasi wake waliopoteza maisha katika harakati za kupigania haki nchini Nigeria na katika kadhia ya Palestina.

  • Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi

    Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi

    Jan 24, 2025 23:26

    Kujiunga Nigeria na jumuiya ya BRICS kama nchi mshirika ni hatua kubwa kuelekea ufufuaji wa uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi.

  • Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno

    Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno

    Jan 08, 2025 23:40

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa vikosi vyake vimewaua magaidi 34 wa kundi la Boko Haram katika mapigano ya silaha kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno huku wanajeshi sita pia wakipoteza maisha.

  • Polisi wa Nigeria wawakomboa mateka baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara

    Polisi wa Nigeria wawakomboa mateka baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara

    Jan 06, 2025 09:50

    Polisi ya Nigeria imeripoti kuwa mateka wanne waliotekwa nyara wamekombolewa baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara katika jimbo la Imo kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Nigeria apongeza mpango wa nchi hiyo wa mabadiliko ya kodi

    Rais wa Nigeria apongeza mpango wa nchi hiyo wa mabadiliko ya kodi

    Dec 24, 2024 22:48

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu amesema kuwa atasonga mbele na miswada minne ya marekebisho ya kodi ambayo tayari imewasilishwa bungeni licha ya kukabiliwa na radiamali hasi ya magavana kadhaa wa majimbo nchini humo.

  • Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika mkanyagano wakati wa ugawaji wa chakula huko Nigeria

    Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika mkanyagano wakati wa ugawaji wa chakula huko Nigeria

    Dec 21, 2024 10:31

    Takriban watu 20 wamepoteza maisha katika tukio la mkanyagano lililotokea katika zoezi la ugawaji chakula katika Jimbo la Anambra, kusini mashariki mwa Nigeria.

  • Watoto 32 waaga dunia katika mkanyagano kwenye tamasha la wanafunzi nchini Nigeria

    Watoto 32 waaga dunia katika mkanyagano kwenye tamasha la wanafunzi nchini Nigeria

    Dec 19, 2024 07:51

    Kamanda wa Polisi katika jimbo la Oyo nchini Nigeria, Adewale Osifeso, amesema kuwa watoto wasiopungua 32 wamethibitishwa kufariki dunia katika mkanyagano wa jana kwenye tamasha la wanafunzi jimboni humo.

  • Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria

    Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria

    Nov 25, 2024 23:24

    Watu wasiopungua 30 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya magenge yenye silaha yaliyojiri kwa muda wa siku tatu dhidi ya wakulima jamii mbalimbali katika jimbo la Benue kaskazini kati nchini Nigeria.

  • Wanajeshi wasiopungua 12 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya Boko Haram

    Wanajeshi wasiopungua 12 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya Boko Haram

    Nov 20, 2024 08:37

    Wanajeshi zaidi ya 12 wa Nigeria waliuliwa jana Jumanne katika mashambulizi kadhaa ya kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya kambi ya jeshi katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS