-
Nigeria yachunguza mripuko mwingine wa lori la mafuta ulioua 18
Jan 26, 2025 10:33Mamlaka za Nigeria zimeanzisha uchunguzi baada ya watu 18 kuthibitishwa kufariki dunia kwenye mripuko wa lori la mafuta ya petroli.
-
Sheikh Zakzaky awaenzi watoto wa Mashahidi wa Nigeria, Palestina
Jan 25, 2025 08:03Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria aliandaa dhifa ya chakula cha jioni Ijumaa usiku kwa ajili ya kuzienzi familia za wafuasi wake waliopoteza maisha katika harakati za kupigania haki nchini Nigeria na katika kadhia ya Palestina.
-
Chukwuka: BRICS itahuisha uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi
Jan 24, 2025 23:26Kujiunga Nigeria na jumuiya ya BRICS kama nchi mshirika ni hatua kubwa kuelekea ufufuaji wa uchumi na kupunguza ushawishi wa Magharibi.
-
Jeshi la Nigeria: Magaidi 34 wa Boko Haram wameangamizwa katika jimbo la Borno
Jan 08, 2025 23:40Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa vikosi vyake vimewaua magaidi 34 wa kundi la Boko Haram katika mapigano ya silaha kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno huku wanajeshi sita pia wakipoteza maisha.
-
Polisi wa Nigeria wawakomboa mateka baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara
Jan 06, 2025 09:50Polisi ya Nigeria imeripoti kuwa mateka wanne waliotekwa nyara wamekombolewa baada ya makabiliano ya risasi na watekaji nyara katika jimbo la Imo kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Rais wa Nigeria apongeza mpango wa nchi hiyo wa mabadiliko ya kodi
Dec 24, 2024 22:48Rais wa Nigeria Bola Tinubu amesema kuwa atasonga mbele na miswada minne ya marekebisho ya kodi ambayo tayari imewasilishwa bungeni licha ya kukabiliwa na radiamali hasi ya magavana kadhaa wa majimbo nchini humo.
-
Watu zaidi ya 20 wapoteza maisha katika mkanyagano wakati wa ugawaji wa chakula huko Nigeria
Dec 21, 2024 10:31Takriban watu 20 wamepoteza maisha katika tukio la mkanyagano lililotokea katika zoezi la ugawaji chakula katika Jimbo la Anambra, kusini mashariki mwa Nigeria.
-
Watoto 32 waaga dunia katika mkanyagano kwenye tamasha la wanafunzi nchini Nigeria
Dec 19, 2024 07:51Kamanda wa Polisi katika jimbo la Oyo nchini Nigeria, Adewale Osifeso, amesema kuwa watoto wasiopungua 32 wamethibitishwa kufariki dunia katika mkanyagano wa jana kwenye tamasha la wanafunzi jimboni humo.
-
Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria
Nov 25, 2024 23:24Watu wasiopungua 30 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya magenge yenye silaha yaliyojiri kwa muda wa siku tatu dhidi ya wakulima jamii mbalimbali katika jimbo la Benue kaskazini kati nchini Nigeria.
-
Wanajeshi wasiopungua 12 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya Boko Haram
Nov 20, 2024 08:37Wanajeshi zaidi ya 12 wa Nigeria waliuliwa jana Jumanne katika mashambulizi kadhaa ya kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya kambi ya jeshi katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.