-
Harakati ya Kiislamu Nigeria kotini kupinga marufuku dhidi yake
Oct 21, 2016 10:31Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeelekea mahakamani kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa serikali kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo katika jimbo la Kaduna.
-
IHRC: Saudia inashiriki kukandamiza Harakati ya Kiislamu Nigeria
Oct 20, 2016 23:53Kamisheni ya Haki za Binadamu za Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London Uingereza imetangaza kuwa, nyaraka zilizofichuliwa na mtandao wa WikiLeaks zinathibitisha kwamba Saudi Arabia inashiriki katika kukandamiza Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria.
-
Waliouawa katika mapigano ya kikabila nchini Nigeria wafikia 40
Oct 18, 2016 11:25Duru za hospitali nchini Nigeria zimeripoti ongezeko la watu waliouawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Boko Haram: Tuko tayari kuwaachia huru wanafunzi wengine 83
Oct 18, 2016 03:27Kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram la Nigeria limeeleza juu ya utayarifu wake wa kuwaachia huru makumi ya wanafunzi wa kike waliowateka nyara zaidi ya miaka miwili iliyopita.
-
Nigeria yamkamata mjumbe wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu
Oct 16, 2016 11:10Vikosi vya usalama Nigeria vimemkamata mjumbe wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo.
-
Wapinzani Nigeria wataka marekebisho ya Katiba
Oct 15, 2016 23:09Vyama vya upinzani nchini Nigeria vimetaka kufanyike mabadiliko ya sheria za chaguzi za miji katika katiba ya nchi hiyo.
-
Kupigwa marufuku shughuli za harakati ya Kiislamu ya Nigeria
Oct 13, 2016 08:40Viongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamelaani uamuzi uliopitishwa na Gavana wa jimbo la Kaduna Nasir Ahmed el-Rufai wa kupiga marufuku shughuli za harakati hiyo.
-
Iran yalaani mauaji ya Waislamu siku ya Ashura Nigeria, Afghanistan
Oct 13, 2016 01:10Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wamejumuika kwa ajili ya maombolezo ya Ashura, katika miji ya Kaduna na Funtua nchini Nigeria hapo jana.
-
Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura
Oct 12, 2016 12:29Watu wasiopungua 10 wameuawa leo katika mapigano yaliyotokea baina ya jeshi la Nigeria na Waislamu waliokuwa katika maombolezo na kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali katika jimbo la Katsina huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS
Oct 12, 2016 00:54Jeshi la Nigeria limewazingria Waislamu wa madheebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.