-
Watu 15 waaga dunia baada ya boti kuzama Nigeria; 25 hawajulikani walipo
May 11, 2023 07:53Sanusi Abubakar msemaji wa polisi katika jimbo la Sokoto nchini Nigeria ameripoti kuwa watu 15 wamepoteza maisha baada ya boti kuzama Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
-
Polisi ya Nigeria yafyatua risasi Siku ya Quds na kuua mtu mmoja
Apr 15, 2023 03:04Mtu mmoja ameripotiwa kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa baada ya polisi kufyatua risasi katika maandamano ya kila mwaka ya Siku ya Kimataifa ya Al-Quds katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja na mji wa Kaduna.
-
Miaka tisa baada ya utekaji Chibok, UNICEF yataka wanafunzi walindwe Nigeria
Apr 14, 2023 22:40Ikiwa imepiita miaka tisa tangu wasichana 276 watekwe nyara wakiwa katika shule ya bweni huko Chibok, Nigeria, ambapo mpaka sasa 96 bado wapo utumwani, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetaka wadau kusaidia katika kuwekeza zaidi katika usalama wa wanafunzi mashuleni kwani bado vitendo vya utekaji nyara vinaendelea nchini humo.
-
Watoto wa Nigeria watangaza mshikamano wao na watoto wa Palestina
Apr 07, 2023 23:50Watoto wa Nigeria wamekusanyika katika mikoa ya Kaduna na Bauchi na kupiga nara za kuwaunga mkono na kuwatetea watoto wenzao wa Kipalestina, hasa wale wanaoishi katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji
Apr 02, 2023 23:51Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa imegawa vifurushi mbaimbali bidhaa za chakula kwa watu wanohitajia nchini humo.
-
Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria
Mar 19, 2023 22:47Mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Nigeria na wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky bado yanaendelea. Kuhusiana na hilo, vikosi vya usalama katika jimbo la Kaduna vimewaua watu wasiopungua 6 katika shambulio dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
-
Wafuasi 5 wa Sheikh Zakzaky wauawa katika hujuma ya polisi, Kaduna, Nigeria
Mar 17, 2023 03:27Askari usalama wa jimbo la Kaduna wamewaua watu wasiopungua 5 katika shambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN).
-
Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria
Mar 10, 2023 03:46Kwa akali watu 26 wameuawa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya kushtukiza yaliyofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.
-
Waislamu Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mazazi ya Imam Mahdi (AF)
Mar 08, 2023 06:56Waislamu wa madhehebu ya Shia na wafuasi na wapenzi wa Ahlu Bait (AS) nchini Nigeria wamejiunga na wenzao kote duniani katika maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Imam wa Zama, Mahdi (AF).
-
Ushindi wa mgombea wa chama tawala katika uchaguzi wa Nigeria na mustakbali wa nchi hiyo
Mar 01, 2023 10:39Kwa mujibu wa tangazo la Tume Huru ya Uchaguzi ya Nigeria (INEC), "Bola Ahmed Tinubu" aliyekuwa mgombea wa chama tawala cha "All Progressives Congress" ameshinda uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.