-
Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria
Jan 28, 2021 22:34Katika hali ambayo Waislamu nchini Nigeria wameshiriki katika maandamano ya amani ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, mwendesha mashtaka mkuu nchini humo ameakhirisha tena kesi ya kiongozi huyo wa harakati ya Kiislamu.
-
ISIS yadai kuhusika na kutekwa kambi ya jeshi Nigeria
Jan 17, 2021 04:30Maafisa usalama na mamia ya wakazi wa mji mmoja katika jimbo la Borno la kaskazini mwa Nigeria wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya genge la magaidi waliojizatiti kwa silaha kushambulia na kudhibiti kambi ya jeshi katika eneo hilo.
-
Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria
Dec 30, 2020 11:25Maafisa usalama 11 wakiwemo wanajeshi wanne wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa ardhini la kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Magaidi wa Boko Haram wateka nyara makumi ya wakata mbao Nigeria
Dec 27, 2020 11:58Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wamewateka nyara wakata mbao zaidi ya 40 na kuwaua wengine watatu katika jinai yao ya hivi karibuni.
-
Boko Haram yashambulia vijiji kadhaa na kuua katika mkesha wa Krismasi
Dec 25, 2020 10:09Watu saba wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kushambulia vijiji kadhaa katika majimbo ya Borno na Adamawa nchini Nigeria, usiku wa kuamkia leo.
-
Wananchi wa Nigeria waandamana kuiunga mkono Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na Israel
Dec 21, 2020 23:27Wananchi wa Nigeria wameandamana na kutangaza uungaji mkono wao kwa taifa la Palestina na kupinga harakati za baadhi ya mataifa ya Kiarabu za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Makumi ya watoto wengine waliotekwa nyara Nigeria waokolewa
Dec 21, 2020 04:48Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuwanusuru makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara na watu waliobeba silaha siku ya Jumamosi.
-
Mamia ya wanafunzi waliotekwa na Boko Haram waachiwa huru
Dec 18, 2020 03:52Vyombo vya usalama vya Nigeria vimetangaza habari ya kuwanusuru karibu wanafunzi wavulana 350 kati ya 520 wa shule ya upili ya eneo la Kankara kaskazini magharibi mwa nchi, waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
"Saudia imeipa serikali ya Nigeria mamilioni ya dola imuue Sheikh Zakzaky"
Dec 17, 2020 04:09Wakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia umeipa serikali ya Abuja mamilioni ya dola ili imuue mwanaharakati huyo wa Kiislamu anayeshikiliwa kizuizini mwa miaka mitano sasa.
-
Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara huko Katsina
Dec 16, 2020 04:41Maafisa wa Nigeria wameeleza kuwa, wanafunzi kadhaa waliokuwa wametekwa nyara na magaidi wa kundi la Boko Haram wamekombolewa.