Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru

    Makumi ya wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria waachiwa huru

    Feb 27, 2021 08:35

    Huku vyombo vya usalama vya Nigeria vikiendelea kuwasaka wanafunzi wasichana zaidi ya 300 waliotekwa nyara na genge la watu waliokuwa na silaha mapema jana, makumi ya wanafunzi wengine waliotekwa wiki iliyopita wameachiwa huru.

  • Mamia ya wanafunzi wa kike watekwa nyara katika jimbo la Zamfara, Nigeria

    Mamia ya wanafunzi wa kike watekwa nyara katika jimbo la Zamfara, Nigeria

    Feb 26, 2021 09:32

    Majambazi waliokuwa na silaha leo asubuhi wameivamia shule moja ya sekondari ya wasichana katka jimbo la Zamfara nchini Nigeria na kuwateka nyara mamia ya wanafunzi.

  • Nigeria: Watekajinyara wamewaachia huru watu 53 katika jimbo la Niger

    Nigeria: Watekajinyara wamewaachia huru watu 53 katika jimbo la Niger

    Feb 23, 2021 09:58

    Kundi la wahalifu lililokuwa limewashikia mateka watu 53 limewaachia huru mateka hao wakiwemo wanawake na watoto waliotekwa kwenye basi nchini Nigeria.

  • Umoja wa Mataifa walaani vikali shambulio na utekaji nyara wanafunzi Nigeria

    Umoja wa Mataifa walaani vikali shambulio na utekaji nyara wanafunzi Nigeria

    Feb 19, 2021 10:25

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, kupitia msemaji wake, amelaani vikali shambulio la tarehe 17 Februari mwaka huu 2021 dhidi ya Chuo cha Sayansi cha serikali cha Kagara katika mkoa wa kaskazini kati mwa Nigeria.

  • Mabaharia wa Uturuki waliotekwa nyara Nigeria warejea nyumbani

    Mabaharia wa Uturuki waliotekwa nyara Nigeria warejea nyumbani

    Feb 14, 2021 09:27

    Mabaharia 15 wa Uturuki waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Ghuba ya Guinea wamerejea nyumbani leo Jumapili huku nahodha wao akisema walikabiliwa na vitisho vya kuuawa wakati waliposhikiliwa kwa muda wa wiki tatu msituni.

  • Makumi wauawa katika hujuma za wabeba silaha Nigeria

    Makumi wauawa katika hujuma za wabeba silaha Nigeria

    Feb 10, 2021 20:04

    Makumi ya watu wameuawa katika mashambulizi kadhaa ya magenge ya wabeba silaha katika wilaya tano za eneo la kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Amnesty yasema Nigeria inajaribu kuficha mauaji ya raia mjini Lagos

    Amnesty yasema Nigeria inajaribu kuficha mauaji ya raia mjini Lagos

    Jan 29, 2021 04:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu serikali ya Nigeria kuwa inafanya jitihada za kuficha mauaji ya kutisha ya wananchi waliokuwa wakiandamana katika mji wa Lagos mwezi Oktoba mwaka uliopita.

  • Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria

    Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky nchini Nigeria

    Jan 28, 2021 22:34

    Katika hali ambayo Waislamu nchini Nigeria wameshiriki katika maandamano ya amani ya kutaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, mwendesha mashtaka mkuu nchini humo ameakhirisha tena kesi ya kiongozi huyo wa harakati ya Kiislamu.

  • ISIS yadai kuhusika na kutekwa kambi ya jeshi Nigeria

    ISIS yadai kuhusika na kutekwa kambi ya jeshi Nigeria

    Jan 17, 2021 04:30

    Maafisa usalama na mamia ya wakazi wa mji mmoja katika jimbo la Borno la kaskazini mwa Nigeria wamelazimika kuyakimbia makazi yao baada ya genge la magaidi waliojizatiti kwa silaha kushambulia na kudhibiti kambi ya jeshi katika eneo hilo.

  • Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria

    Shambulio la bomu la Boko Haram laua askari 11 Nigeria

    Dec 30, 2020 11:25

    Maafisa usalama 11 wakiwemo wanajeshi wanne wameuawa katika shambulio la bomu la kutegwa ardhini la kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS