-
Jinai za magaidi wa Boko Haram zimeshika kasi nchini Nigeria
Jan 10, 2019 21:43Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, magaidi wa Boko Haram wanawalazimisha wananchi wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kuzihama nyumba zao.
-
Wanigeria zaidi ya elfu 30 wakimbia makazi yao kaskazini mwa nchi hiyo
Jan 10, 2019 04:41Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa makumi ya maelfu ya watu wamelazimika kukimbia nyumba na makazi yao huko kaskazini mwa Nigeria kutokana na kushadidi ghasia na mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Rais wa Nigeria aahidi uchaguzi huru, wapiga kura milioni 84 wasajiliwa
Jan 08, 2019 04:16Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ameahidi kuwa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi ujao utakuwa huru na wa haki.
-
Upinzani wakosoa uteuzi wa mpwa wa Rais wa Nigeria katika Tume ya Uchaguzi
Jan 06, 2019 03:40Vyama vya upinzani nchini Nigeria vimepinga hatua ya kuteuliwa mtu wa karibu wa familia ya Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo kuwa ofisa wa ngazi za juu wa Tume ya Uchaguzi, mwezi mmoja kabla ya kufanyika uchaguzi wa rais katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Wanajeshi 10 wauawa katika mpaka wa Niger na Nigeria
Jan 01, 2019 04:37Siku moja baada ya raia 10 kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la kigaidi, askari kumi waliokuwa katika operesheni ya pamoja wameuawa na watu waliokuwa wamebeba silaha katika mpaka wa nchi hiyo na Niger.
-
Mashindano ya kitaifa ya Qur'ani yafanyika nchini Nigeria
Dec 31, 2018 04:35Mashindano ya 33 ya kitaifa ya kila mwaka ya Qur'ani nchini Nigeria yanaendelea kufanyika kwa kushirikisha majimbo 33 ya nchi hiyo katika fani sita za Qur'ani tukufu.
-
Watu 10 wauawa kwa shambulio la Daesh kaskazini mashariki mwa Nigeria
Dec 30, 2018 11:06Raia 10 wameauawa kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulio la wanamgambo wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Wanajeshi 14 wauawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigera
Dec 26, 2018 03:54Wanajeshi wasiopungua 14 wameuawa nchini Nigeria wameuawa kufuatia shambulio la kkundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Yobe kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Boko Haram wafanya shambulizi jingine mashariki mwa Nigeria
Dec 17, 2018 23:56Genge la kigaidi na la ukufurishaji la Boko Haram limevamia na kushambulia kijiji kimoja kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuchoma moto nyumba za wanakijiji baada ya kuwashambulia kwa risasi.
-
Maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni yafanyika nchini Nigeria
Dec 17, 2018 11:46Maelfu ya wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano dhidi ya Uzayuni kusini magharibi mwa nchi hiyo na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa taifa madhulumu la Palestina.