Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz

    Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz

    Sep 25, 2018 04:44

    Kikundi kimoja cha watoto kimefanya matembezi ya amani katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, kumkumbuka na kumuenzi mtoto wa miaka minne aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigadi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran.

  • Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria

    Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria

    Sep 22, 2018 23:58

    Watu wasiopungua 97 wamefariki dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mripuko wa maradhi ya kipindupindu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.

  • Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura

    Sep 21, 2018 23:41

    Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.

  • Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 20, 2018 22:53

    Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.

  • IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya

    IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya

    Sep 18, 2018 23:16

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, asilimia 80 ya wasichana wa Kinigeria wanaoingia Italia kupitia njia ya bahari wanatumiwa kama watumwa wa ngono.

  • Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria

    Sep 18, 2018 02:43

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno

    Sep 16, 2018 21:52

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 15, 2018 03:12

    Watu wasiopungua wanane wanaripotiwa kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuvishambulia vijiji viwili.

  • Jeshi la Nigeria lazima shambulizi la magaidi wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria lazima shambulizi la magaidi wa Boko Haram

    Sep 13, 2018 22:51

    Duru za kijeshi za Nigeria zimetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeshambulia kambi nyingine ya kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo lakini shambulio hilo limezimwa.

  • Rais Muhammad Buhari atangaza kutetea kiti chake katika uchaguzi ujao wa Nigeria

    Rais Muhammad Buhari atangaza kutetea kiti chake katika uchaguzi ujao wa Nigeria

    Sep 13, 2018 03:02

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametangaza kuwa atagombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao uliopangwa kufanyika Februari mwaka ujao wa 2019.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS