-
Watoto wa Nigeria wamuomboleza mtoto aliyeuawa shahidi katika shambulizi la Ahvaz
Sep 25, 2018 04:44Kikundi kimoja cha watoto kimefanya matembezi ya amani katika mji mkuu wa Nigeria Abuja, kumkumbuka na kumuenzi mtoto wa miaka minne aliyeuawa shahidi katika shambulizi la kigadi la Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran.
-
Kipindupindu chaua watu 97 kaskazini mwa Nigeria
Sep 22, 2018 23:58Watu wasiopungua 97 wamefariki dunia kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mripuko wa maradhi ya kipindupindu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Polisi Nigeria wawashambulia kwa risasi Waislamu katika maombolezo ya Ashura
Sep 21, 2018 23:41Polisi nchini Nigeria wamewafyatulia risasi Waislamu waliokuwa katika maomboleza ya ashura na kujeruhi baadhi yao.
-
Watu 9 wauawa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 20, 2018 22:53Kundi la kigaidi la Boko Haram limeendelea kufanya mauaji kaskazini mashariki mwa Nigeria ambapo watu 9 wanaripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la magaidi hao.
-
IOM: Wasichana wa Nigeria wanafanywa watumwa wa ngono barani Ulaya
Sep 18, 2018 23:16Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa, asilimia 80 ya wasichana wa Kinigeria wanaoingia Italia kupitia njia ya bahari wanatumiwa kama watumwa wa ngono.
-
Watu 100 wauawa na mafuriko nchini Nigeria
Sep 18, 2018 02:43Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini Nigeria yameua watu zaidi ya 100 katika majimbo 10 ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Magaidi kadhaa wa Boko Haram wauliwa na jeshi la Nigeria, Borno
Sep 16, 2018 21:52Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni iliyofanywa jana Jumapili na wanajeshi wa Nigeria katika jimbo la Borno, la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Shambulio la Boko Haram laua watu 8 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 15, 2018 03:12Watu wasiopungua wanane wanaripotiwa kuuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria baada ya kundi la kigaidi la Boko Haram kuvishambulia vijiji viwili.
-
Jeshi la Nigeria lazima shambulizi la magaidi wa Boko Haram
Sep 13, 2018 22:51Duru za kijeshi za Nigeria zimetangaza kuwa, kundi la kigaidi la Boko Haram limeshambulia kambi nyingine ya kijeshi kaskazini mwa nchi hiyo lakini shambulio hilo limezimwa.
-
Rais Muhammad Buhari atangaza kutetea kiti chake katika uchaguzi ujao wa Nigeria
Sep 13, 2018 03:02Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametangaza kuwa atagombea tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao uliopangwa kufanyika Februari mwaka ujao wa 2019.