Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Mwanaharakati Nigeria: Kimbunga cha al-Aqsa kilianika udhaifu wa Israel

    Oct 07, 2024 06:17

    Mwanaharakati mashuhuri wa haki za binadamu nchini Nigeria amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ya Oktoba 7, 2023 iliyofanywa na wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ilifichua namna utawala haramu wa Israel ulivyo dhaifu sanjari na kuugutusha ulimwengu juu ya kadhia ya Palestina.

  • Jumanne tarehe Mosi Oktoba 2024

    Jumanne tarehe Mosi Oktoba 2024

    Oct 01, 2024 06:47

    Leo ni Jumanne tarehe 27 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba 2024.

  • Nigeria kuandamana leo kupinga ongezeko la gharama za maisha

    Nigeria kuandamana leo kupinga ongezeko la gharama za maisha

    Oct 01, 2024 02:18

    Wananchi wa Nigeria leo Jumanne wamepanga kufanya maandamano mapya kulalamikia ongezeko la gharama za maisha. Maandamano hayo yaliyopewa jina la "Oktoba Mosi Bila Hofu" yamepangwa kwenda sambamba na kumbukumbu ya maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru wa Nigeria.

  • Seneta wa Nigeria: Jinai za Israel Gaza, Lebanon zinaonyesha UN haina maana

    Seneta wa Nigeria: Jinai za Israel Gaza, Lebanon zinaonyesha UN haina maana

    Sep 27, 2024 03:05

    Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Nigeria amesema kuwa, mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na huko Beirut, mji mkuu wa Lebanon yameonyesha kushindwa kwa dunia kushughulikia suala la Palestina, na pia imeonyesha namna Umoja wa Mataifa ulivyo butu kwa kushindwa kukomesha ukatili na unyama wa Israel.

  • Mafuriko makubwa yaziathiri Nigeria na Niger; mamia ya maelfu ya watu wahama makazi yao

    Mafuriko makubwa yaziathiri Nigeria na Niger; mamia ya maelfu ya watu wahama makazi yao

    Sep 25, 2024 02:25

    Mafuriko makubwa yamesababisha maafa katika nchi za kati na magharibi mwa Afrika, zikiwemo Nigeria na Niger na kuathiri mamia ya maelfu ya watu na kusababisha uharibifu mkubwa.

  • Wakulima 64 wafa maji katika ajali ya boti kaskazini ya Nigeria

    Wakulima 64 wafa maji katika ajali ya boti kaskazini ya Nigeria

    Sep 15, 2024 07:31

    Watu wasiopungua 64 wanahofiwa kufa maji katika ajali ya boti iliyotokea mtoni katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Makumi waaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta nchini Nigeria

    Makumi waaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta nchini Nigeria

    Sep 09, 2024 09:56

    Makumi ya watu wamepoteza maisha baada ya lori la kubeba mafuta kuripuka baada ya kugongana na gari jingine kaskazini mwa Nigeria.

  • Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Nigeria: BRICS inayahamasisha mataifa ya Afrika

    Aug 30, 2024 02:39

    Balozi wa Manispaa ya Kimataifa ya BRICS (IMBRICS) nchini Nigeria amesema jumuiya ya kiuchumi ya BRICS imekuwa chanzo kikubwa cha motisha na hamasa kwa nchi nyingi za Afrika, kwa kuwa inazihimiza kupigania uhuru wao na kupinga ushawishi na ubeberu wa Magharibi.

  • Wananchi wa Nigeria wakasirishwa na ndege mpya ya rais iliyogharimu dola milioni 100

    Wananchi wa Nigeria wakasirishwa na ndege mpya ya rais iliyogharimu dola milioni 100

    Aug 27, 2024 02:11

    Ununuzi wa hivi karibuni wa ndege mpya ya Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, iliyogharimu dola za Kimarekani milioni 100 umewakasirisha sana wananchi wa nchi hiyo.

  • Watu 30 wauawa katika shambulio la wanamgambo nchini Nigeria

    Watu 30 wauawa katika shambulio la wanamgambo nchini Nigeria

    Aug 10, 2024 12:54

    Kwa akali watu 30 wameuawa katika jimbo la Benue nchini Nigeria baada ya kundi la wanamgambo kufanya mashambulio dhidi ya kijiji cha Ayati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS